It is true, kabla ya akina Columbus na wengine, watu walikuwa wanaabudu kwa mitindo yao. Iweje mtu anasema lazima ufukize ubani kama waroma au waislamu ndiyo wako sahihi?
Mali ya baba haina uhusiano na mtoto. Ndivyo sheria ilivyo, labda kama kakukabidhi kama mirathi kama akipenda, tena kwa maandishi. Wewe tafuta ya kwako hata kama hautampa baba yako.
Kukopa ndiyo mojawapo ya nguzo za uchumi, hata uwe tajiri kivipi lazima ukope na kukopesha ili mzunguko wa fedha uwe imara. Kuna mataifa tajiri lakini yana madeni makubwa mno, kwa hiyo tunatakiwa kukopa hata mara 10 ya deni la sasa.
Haya yangu masikio na macho, hata ww ungekuwa mkuu wa kambi usingeruhusu maandamano kwa vile huwezi kuwadhibiti watu hata watu 2, kila mmoja ana ajenda yake katika hayo maandamano, sembuse wawe elf 10, laki, laki 5.Huko wezi na majambazi nao wako huko kwenye maandamano. Acha utani na amani ya...
Inategemea baba ya hao wtt amekamatwa kicwa kiasi gani. Kwani mtt ni mtt, ila kwa hadhi ya wa kwanzana nk itabaki uamuzi wa baba. Kama unataka kujipendekeza kwa mkeo kuwa ww si mtu wa kuchepuka mm wa kwanza ataheshimika wa mkeo huyo
Pole hiyo ni hali inayoweza kutokea baada ya kuhujumiwa katika mapenzi. Ukipata umpendae mambo yatakaa vizuri. Usichelele maana muda wenu ni mfupi sana vichocheo vikiisha ni majanga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.