Wanasheria nisaidieni, Baba Mzazi anazidi kuuza mali

Miaka 42!!Bado unakula nyumbani!!!?hizo mali sio zako,ni za baba yako,anahaki ya kuzitumia atakavyo,wewe sio mtoto kusema anakutunza,wewe ni mtu mzima sana,
Kama anauza anatesa mke wake,mama yako,hapo nenda polisi kutafuta haki ya bi mkubwa,
 
Habarini za asubuhi, naomba niende moja kwa moja kwenye mada baada ya baba angu kuuza nyumba yake ya kwanza week 3 zilizopita na kubakisha nyumba moja maeneo ya huku Sinza Mori ambayo ndio tunakaa sasa hivi nayo anataka kuuza, wakati bado watoto wake sisi bado tupo hai tena ususani mtoto wake mimi bado kijana mdogo hata umri wa miaka 50 sijafika ndio kwanza nina 42, na cha kushangaza huyu mzee baada ya kuuza nyumba ya kwanza bado hajanipa mgao wowote wa pesa mpaka niliamua kwenda kumshtaki ofisi ya kata na jana nimeenda kufungua kesi polisi na Jumatatu ya tarehe 24 tunaenda mahakamani kwa kesi kusikilizwa.

Cha kushangaza leo ameamka na kuanza kusema anauza nyumba hii pia, jamani wanasheria naombeni mnisaidie maana huyu baba anateketeza mali zote na mimi kama mtoto wake sijaambulia chochote mpaka muda huu, nahisi uenda mzee wangu akawa amechanganyikiwa, nataka nieleze mahakama hiyo jumatatu hoja yangu hii kama huyu mzee wangu huenda amechanganyikiwa ili niweze kupatiwa pesa zake zote nizihifadhi sehemu nzuri na salama.

Haiwezekani mimi mtoto wake nipo na nina elimu nzuri tu na kubwa sana ya degree ya marketing kutoka chuo kikubwa kabisa cha university of dar es salaam, na nina umri wa kijana ninayejitambua kabisa wa miaka 42 ashindwe kunipatia hizo pesa nizihifadhi au kama hataki anipe mgao wangu kabisa nikatafute maisha yangu.

Leo ananiambia kwa jeuri eti kama nimeamua kwenda mahakamani basi nitakuwa nakula na kulala mahakamani ila sio hapa kwake, nikamuambia hapa sio kwako hapa ni kwetu maana wewe ni baba yangu na mahakama inatambua umuhimu wa mtoto kwenye ishu ya urithi wa mali, anasema anaenda kutafuta dalali na muda huu ameondoka

Wanasheria naombeni mshikamane na mimi kwenye ili wakuu ili nipate haki yangu ya mali. Na alivyo na jeuri ananiambia ananipa siku mbili niwe nimeshatoa begi langu la nguo ndani niwe nimeondoka jamani mpaka namshangaa huyu mzee.

Nawasilisha
Acha ufala, hiyo kisheria ni mali yake na hauna Cha kufanya kwenye Mahakama yeyote Ile.

Mali katafuta kwa jasho lake, at least ungekuwa mke wake au kama ingekuwa una-sue kwa niaba ya mama yako Kama yupo hai na amekutuma ufanye hivyo kwa maana ya kwamba kama anapinga uuzwaji ili ashirikishwe mama.

Fahamu kwamba, mali ya wazazi wako sio yako na mrithi huwa ni mzazi mwenza kama yupo. Hapa namaanisha kwamba, kama baba akifariki na mama yu mzima, basi atarithi mama, na kama mama atafariki na baba yu mzima basi atarithi baba mali zote.

Mtoto anarithi kama wazazi wote hawapo maana wao ndio wenye mali.

Hivyo maamuzi ya baba kuuza nyumba zake Kama amemshirikisha mkewe ambae ni mama yako hayo ni maamuzi sahihi ningekuwa wewe ni kubadili tabia na kukaa vizuri na wazazi na kuwaonyesha yamebadilika watakupa hata mtaji usonge mbele na maisha yako.

Acha ufala ondoa kengele zako hapo kwa wazee ndio mtaheshimiana sio kung'ang'ania mali ambazo walichuma wenyewe kwa nguvu zao.
 
Miaka 42!!Bado unakula nyumbani!!!?hizo mali sio zako,ni za baba yako,anahaki ya kuzitumia atakavyo,wewe sio mtoto kusema anakutunza,wewe ni mtu mzima sana,
Kama anauza anatesa mke wake,mama yako,hapo nenda polisi kutafuta haki ya bi mkubwa,
hapana mkuu baba anashirikiana na mama kunizurumu aki yangu ya mali
 
Mali ya baba haina uhusiano na mtoto. Ndivyo sheria ilivyo, labda kama kakukabidhi kama mirathi kama akipenda, tena kwa maandishi. Wewe tafuta ya kwako hata kama hautampa baba yako.
 
After 3years kama anatafuta ajira its all over, lakini pia kama amegraduate na miaka 22 anatakiwa kuwa na uzoefu wa kazi wa miaka 20, imagine leo anaajiriwa idara ya Marketing kwenye kampuni yoyote ile maana yake anaanza upya pia atatumwa na vijana wadogo.
Aisee acha tu..Nimejaribu kufikir kwa mimi inafsi at 42 yrs my first born atakua tayar ana 20 yrs..my last third born atakua na 13yrs halaf niwe nakaa kwa mzee?hapana vijana tupige hesab bado mapema aisee
 
Habarini za asubuhi, naomba niende moja kwa moja kwenye mada baada ya baba angu kuuza nyumba yake ya kwanza week 3 zilizopita na kubakisha nyumba moja maeneo ya huku Sinza Mori ambayo ndio tunakaa sasa hivi nayo anataka kuuza, wakati bado watoto wake sisi bado tupo hai tena ususani mtoto wake mimi bado kijana mdogo hata umri wa miaka 50 sijafika ndio kwanza nina 42, na cha kushangaza huyu mzee baada ya kuuza nyumba ya kwanza bado hajanipa mgao wowote wa pesa mpaka niliamua kwenda kumshtaki ofisi ya kata na jana nimeenda kufungua kesi polisi na Jumatatu ya tarehe 24 tunaenda mahakamani kwa kesi kusikilizwa.

Cha kushangaza leo ameamka na kuanza kusema anauza nyumba hii pia, jamani wanasheria naombeni mnisaidie maana huyu baba anateketeza mali zote na mimi kama mtoto wake sijaambulia chochote mpaka muda huu, nahisi uenda mzee wangu akawa amechanganyikiwa, nataka nieleze mahakama hiyo jumatatu hoja yangu hii kama huyu mzee wangu huenda amechanganyikiwa ili niweze kupatiwa pesa zake zote nizihifadhi sehemu nzuri na salama.

Haiwezekani mimi mtoto wake nipo na nina elimu nzuri tu na kubwa sana ya degree ya marketing kutoka chuo kikubwa kabisa cha university of dar es salaam, na nina umri wa kijana ninayejitambua kabisa wa miaka 42 ashindwe kunipatia hizo pesa nizihifadhi au kama hataki anipe mgao wangu kabisa nikatafute maisha yangu.

Leo ananiambia kwa jeuri eti kama nimeamua kwenda mahakamani basi nitakuwa nakula na kulala mahakamani ila sio hapa kwake, nikamuambia hapa sio kwako hapa ni kwetu maana wewe ni baba yangu na mahakama inatambua umuhimu wa mtoto kwenye ishu ya urithi wa mali, anasema anaenda kutafuta dalali na muda huu ameondoka

Wanasheria naombeni mshikamane na mimi kwenye ili wakuu ili nipate haki yangu ya mali. Na alivyo na jeuri ananiambia ananipa siku mbili niwe nimeshatoa begi langu la nguo ndani niwe nimeondoka jamani mpaka namshangaa huyu mzee.

Nawasilisha
Hii ni chai tu
 
Mwenye haki hapo ni mamako ( kama yupo) wengine wote subirini maumivu.

Hoja inayoweza kukusaidia kidooogo ni nyumba ya familia ( yaani mbakoishi) na yeye ana uwezo wa kuwahamishia nyumba nyingine.

Amkaaa.

Unataka mali? Njoo nikuadopt nikurithishe. Pumbavu.

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
 
DO
za chini chini naskia ameongeza na ela zake nyingine ameenda kununua nyumba Mbweni yenye losheni moja ndio nafatilia, maana haiwezekani anakuwa anafanya mambo bila kunishirikisha nahisi uyu mzee atakuwa ana shida sehemu.
Do! dunia inaenda kasi sana kiasi kwamba inaacha abiria kwenye vituo!
 
asante, nimesha fanya ivyo
Miaka 42 bado unakula ugali wa Baba mchana na usiku. Mzee wako ameona huna dalili za kuondoka kwenda kujitegemea. Sasa ameona solution ni kuuza kila alichonacho ili upate akili ya kujitegemea. Inaelekea hii ndio solution kwake ili bichwa lako lianze kupata akili za kitaa.
 
Hujamuelewa mtoa mada wew, yaan umepoteza nguvu na muda bure
Wewe sasa unaanza kutushika masikio, ngoja tufukunyue habari zako za nyuma...

Kila siku kulia lia tu baba kauza nyumba yake, baba kauza nyumba yake...


Feb 18, 2021
Unasimulia umetolewa kijijini na shangazi, ukaja mjini kusomeshwa, mama yako ana miaka 50 na anaishi kijijini kwenye nyumba ya udongo. Hujaeleza kabisa habari ya baba yako...

"Kuna mazuri ambayo nikiyawaza kwake (huyu shangazi yangu) nahisi natakiwa kumfanyia jambo ambalo linaweza kuwa jema kwake, uwezo wangu kipesa sio mzuri kabisa, sina kazi kwa sasa, niliwaza ivi wakuu: hapa nina milion 20 cash. nyumbani kwetu ni mwanza."



March 7, 2021
Unasimulia kisa cha kufukuzwa kwenu kwenye nyumba aishiyo mama na baba yako, nyumba yenye mlinzi getini na uzio (sio tena nyumba ya udongo kijijini na wala sio kwa shangazi yako aishiye nyumba ya kupanga)

"Basi siku ya juzi nilimpigia simu mama kumuambia sijala nina siku ya 2, mama yangu alilia sana, nikamuomba aniombee msamaha kwa baba ili niweze kurudi kuishi kpale kwetu ila la kushangaza mama alipomuambia baba, mzee alikataa kabisa kuniona"

 
Habarini za asubuhi, naomba niende moja kwa moja kwenye mada baada ya baba angu kuuza nyumba yake ya kwanza week 3 zilizopita na kubakisha nyumba moja maeneo ya huku Sinza Mori ambayo ndio tunakaa sasa hivi nayo anataka kuuza, wakati bado watoto wake sisi bado tupo hai tena ususani mtoto wake mimi bado kijana mdogo hata umri wa miaka 50 sijafika ndio kwanza nina 42, na cha kushangaza huyu mzee baada ya kuuza nyumba ya kwanza bado hajanipa mgao wowote wa pesa mpaka niliamua kwenda kumshtaki ofisi ya kata na jana nimeenda kufungua kesi polisi na Jumatatu ya tarehe 24 tunaenda mahakamani kwa kesi kusikilizwa.

Cha kushangaza leo ameamka na kuanza kusema anauza nyumba hii pia, jamani wanasheria naombeni mnisaidie maana huyu baba anateketeza mali zote na mimi kama mtoto wake sijaambulia chochote mpaka muda huu, nahisi uenda mzee wangu akawa amechanganyikiwa, nataka nieleze mahakama hiyo jumatatu hoja yangu hii kama huyu mzee wangu huenda amechanganyikiwa ili niweze kupatiwa pesa zake zote nizihifadhi sehemu nzuri na salama.

Haiwezekani mimi mtoto wake nipo na nina elimu nzuri tu na kubwa sana ya degree ya marketing kutoka chuo kikubwa kabisa cha university of dar es salaam, na nina umri wa kijana ninayejitambua kabisa wa miaka 42 ashindwe kunipatia hizo pesa nizihifadhi au kama hataki anipe mgao wangu kabisa nikatafute maisha yangu.

Leo ananiambia kwa jeuri eti kama nimeamua kwenda mahakamani basi nitakuwa nakula na kulala mahakamani ila sio hapa kwake, nikamuambia hapa sio kwako hapa ni kwetu maana wewe ni baba yangu na mahakama inatambua umuhimu wa mtoto kwenye ishu ya urithi wa mali, anasema anaenda kutafuta dalali na muda huu ameondoka

Wanasheria naombeni mshikamane na mimi kwenye ili wakuu ili nipate haki yangu ya mali. Na alivyo na jeuri ananiambia ananipa siku mbili niwe nimeshatoa begi langu la nguo ndani niwe nimeondoka jamani mpaka namshangaa huyu mzee.

Nawasilisha
Kumbe mpo wengi!! 42 Si mbaba tu wewe
 
Kapange chumba uanze maisha mkuu
Ni aibu sana kwa baba mzima mwenye miaka 42 kuwa unakaa kwa wazazi wako na kulia lia tu upewe hela badala ya kutafuta za kwako
Acha huyo mzee atumie mali zake kadri anavyotaka sababu hukumsaidia kutafuta
 
Hivi wewe kijana mzee, unatumia kichwa gani kuandika huu ushubwada wako!!! Tafuta mali zako .
 
umshindwa kweli kuitumia akili yako ikusaidie kupata mali zako...? hivi kumb urithi unawza kuudai huku mwny mali akiwa hai...? jaa angu acha kutumia mihadarati
 
Kama ni kweli Namshauri Mzee wako akutangulize tu kabla hujamuwahi.
 
Back
Top Bottom