JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 6,838
- 14,218
Miaka 42!!Bado unakula nyumbani!!!?hizo mali sio zako,ni za baba yako,anahaki ya kuzitumia atakavyo,wewe sio mtoto kusema anakutunza,wewe ni mtu mzima sana,
Kama anauza anatesa mke wake,mama yako,hapo nenda polisi kutafuta haki ya bi mkubwa,
Kama anauza anatesa mke wake,mama yako,hapo nenda polisi kutafuta haki ya bi mkubwa,