Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,255
- 2,978
Hahahaha!yakitoka barabaran tutaviambia vyombo vya ulinz wakapumzikee...watuachie sie tuwagawane...ni mwendo wa mikwenzii tu mpk akili ziwarudi maana inaonekana kama imepigwa opiumMisengerema hii wakati wengine wanadai katiba mpya yenyewe yanashangilia mtu kuitwa gaidi. Sasa imekula kwao inalia kama bata... Sasa kama vipi wajitokeze ili wajue kwanini nguzo ya umeme haizai papai