Msaada: Gari aina ya Toyota Vitz imeibiwa

Msaada: Gari aina ya Toyota Vitz imeibiwa

Hajaiba huyoo,kaenda kupigia shoo atarudisha mwenyewe tuu wala usiwaze sana didy..
 
sidhani kama atachukua raundi huyu..
na hao waajiri wake wanapaswa kuhesabika kuwa wahalifu pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom