Natamani kufahamu, kuna mdogo wangu alimaliza Form 4. Alipata division 2 ya point 19. Nilitaka asome PCM au PCB lakini selection zimekuja wamemchagua EGM. Na shule anayoenda hakuna hizo tahsusi mbili (PCM na PCB). Kuna PGM tu.
Naomba mnieleweshe kidogo kuhusu hii tahasusi ya (EGM). Je, akiisoma...
Wenzangu, ni miezi kadhaa tangu gonjwa hili la kishetan liingie nchi yetu pendwa ya Tanzania. Hatujawahi kuwa na lockdown wala curfew. Lakin Mungu sio Makombo, tumeendelea kuishi kwa kudra zake
Je, Tanzania mpaka hapa tulipofikia sisi kama Tanzania bado hatujadevelop "HERD IMMUNITY?" Wajuzi...
Ni Sikh kadhaa sasa Madagascar wametangaza dawa inayotibu na kuzuia maambukizi ya corona. Tukumbuke kuwa nchi hio haina kifo chochote. Tangia wagundue hio dawa hakuna visa vilivyogundulika vipya. Dawa hio imegunduliwa na dakatri Wa kiafrica kabisa mzaliwa Wa Congo.
Mpaka sasa Senagal, Guinnea...
Kwenye kukutana baina ya wapenzi najua wanawake wanakutana na changamoto muktadha cku wanapokutana kwenye mechi kwa Mara ya kwanza. Naomba ushuhuda kidogo kuhusu hawa warembo wetu jinsi walivyokutana na jacuzi. Either kibamia au dudu kubwa oversize uli react vipi. Au ulifanya nini kuhimili...
Hivi nikichukua mwarobaini, aloe vera, majani ya mpapai, tangawizi nikachanganya nikachemsha halafu nikanifunikiza na nyingine nikanywa kwa cku tatu mfululizo. Siponi corona? Tusiidharau Africa yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemaliza form 4 nikafaulu kwenda 5. Nikaitwa 5 Dodoma. Mzazi akaninunulia Alcatel simu kama zawadi. Hio cku nimepewa kitu kama 80k ya kuweka kwenye account ya shule kama ada. Natembea zangu road kwa walioko Arusha wanapajua pale shoppers (previously Nakumat). Natembea nimeweka headphone...
SAUT ingewekeza nguvu main campus. Haya matakataka mengine haya yafe. They lacked vision. Kingekuwa chuo kikubwa mno TZ na Africa mashariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Waathirika wengine wawili wapatikan Tanzania. Mmoja Dar es salaam na mwingine Zanzibar. Wote ni wageni. Majaliwa katangaza
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.