Monda kubwa
Senior Member
- Jun 20, 2019
- 121
- 155
Natamani kufahamu, kuna mdogo wangu alimaliza Form 4. Alipata division 2 ya point 19. Nilitaka asome PCM au PCB lakini selection zimekuja wamemchagua EGM. Na shule anayoenda hakuna hizo tahsusi mbili (PCM na PCB). Kuna PGM tu.
Naomba mnieleweshe kidogo kuhusu hii tahasusi ya (EGM). Je, akiisoma anaweza kuwa na future nzuri. Ni kazi zipi mtu anaweza kufanya mtu akiwa kasoma EGM?
Naomba mnieleweshe kidogo kuhusu hii tahasusi ya (EGM). Je, akiisoma anaweza kuwa na future nzuri. Ni kazi zipi mtu anaweza kufanya mtu akiwa kasoma EGM?