Tuliowahi kutapeliwa tukutane hapa

Tuliowahi kutapeliwa tukutane hapa

Binafsi niliwahi kuuziwa dhahabu miaka ya 2000s kipindi hicho ndo naingia mjini.
Nilitoka kwetu kijijini kuelekea mwanza mjini nilifika stendi nilishuka vizuri tatizo lilianza nilipoanza kukatiza mitaani mbele yangu alitokea jamaa mmoja amechakaa Sana akiwa anaongea lafudhi ya kisukuma aliniambia Kuna wazungu wamepata ajari maeneo ya geita na yeye alifanikiwa kupata dhahabu kidogo katika ajari ile hivyo Alikuja mwanza mjini kutafuta wateja aliniambia nimsaidie atanipa kiasi kidogo
Sikuwa tayali kuachia utajili fasta nilimuuliza Ni shi ngapi aliniambia nimpe 40k by that time .Mfukoni nilikua na 10k nilishusha mpaka akakubali akanipa mzigo nikalipa tukaachana . Baadae nilikuja kucheki mzigo umegeuka mawe daaaah ! Jamaa aliniotea .
Tupia story yako ulivotapeliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenikumbusha mbali stori yako ni kama ya kwangu, mwanza vile vile maeneo ya kirumba natokea tuition jioni nyakabungo mwaka 2015, jamaa alitokea mbele angu amechakaa kweli kweli maelezo kama uliotoa . Yeye alidai anaitaji msaada wa mtu kumpeleka sehemu wanaponunua madini au kwa sonara.. nilimwambia kuwa mimi ni mgeni hapa mjini kwahyo sijui ni wapi wanapatikana masonara.. nilpokuwa bado naongea nae nataka kuondoka gafla katokea jamaa mwingine, kaja kajifanya ajui kinachoendelea ndo jamaa kamsimlia yule akasema anafahamu walipo masonara kwo atamsaidia kumpeleka. Hapo nkataka kuondoka zangu wakasema hapa subiri tumsaidie jamaa kumpeleka kwa sonara akiuza tutakupa mgao kidogo ... Safari ikaanza kutembea kwenda kwa sonara, mbele kidogo yule jamaa mwenye mali akasema ana njaa ajala siku nzima ndo wakanambia una shingap hapo tumpe jamaa ale chakula kwanza tukiuza unapata hela yako .. mfukoni nilikuwa na na elfu 5 noti na simu ya smart yenye touch na batati kwa pamoja nahis mnazikumbuka hiz simu .. wakasema mimi niende na mzigo had kwa sonara watanikuta hapo nawasubiri, maana yule aliekuja kujifanya kutoa msaada wa wapi wanapatikana masonara alisema wanapatikana Misheni. Wakanambia nimwachie mwenye mzigo simu ili nisije kukimbia na mali . Nkaacha simu na hela nshawapa, mimi uyo hadi misheni kulikuepo na jengo la ghorofa kabla alijavunjwa , nilikaa misheni tangu saa kumi na mbili hadi saa mbili kasoro bila wale jamaa kutokea .. ndo nkaanza kuhisi nshaibiwa, Ikabidi nainze kutembea tena kutoka mishen hadi bwiru kwa bro... Nilifika nawaelezea kwamba nimekuja na madini .... Kabla sijamalza kuwasimlia walishaanza kucheka kwamba tiyari ushaibiwa . Kuwapa bahasha ya kaki kuifungua ndan kokoto sio madini tena wakati niliona kwa macho yangu hapo kabla ... Yaani nilitokwa jasho mwili mzima .. ndo nkawa nimeliwa simu na hela hivyo....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umenikumbusha mbali stori yako ni kama ya kwangu, mwanza vile vile maeneo ya kirumba natokea tuition jioni nyakabungo mwaka 2015, jamaa alitokea mbele angu amechakaa kweli kweli maelezo kama uliotoa . Yeye alidai anaitaji msaada wa mtu kumpeleka sehemu wanaponunua madini au kwa sonara.. nilimwambia kuwa mimi ni mgeni hapa mjini kwahyo sijui ni wapi wanapatikana masonara.. nilpokuwa bado naongea nae nataka kuondoka gafla katokea jamaa mwingine, kaja kajifanya ajui kinachoendelea ndo jamaa kamsimlia yule akasema anafahamu walipo masonara kwo atamsaidia kumpeleka. Hapo nkataka kuondoka zangu wakasema hapa subiri tumsaidie jamaa kumpeleka kwa sonara akiuza tutakupa mgao kidogo ... Safari ikaanza kutembea kwenda kwa sonara, mbele kidogo yule jamaa mwenye mali akasema ana njaa ajala siku nzima ndo wakanambia una shingap hapo tumpe jamaa ale chakula kwanza tukiuza unapata hela yako .. mfukoni nilikuwa na na elfu 5 noti na simu ya smart yenye touch na batati kwa pamoja nahis mnazikumbuka hiz simu .. wakasema mimi niende na mzigo had kwa sonara watanikuta hapo nawasubiri, maana yule aliekuja kujifanya kutoa msaada wa wapi wanapatikana masonara alisema wanapatikana Misheni. Wakanambia nimwachie mwenye mzigo simu ili nisije kukimbia na mali . Nkaacha simu na hela nshawapa, mimi uyo hadi misheni kulikuepo na jengo la ghorofa kabla alijavunjwa , nilikaa misheni tangu saa kumi na mbili hadi saa mbili kasoro bila wale jamaa kutokea .. ndo nkaanza kuhisi nshaibiwa, Ikabidi nainze kutembea tena kutoka mishen hadi bwiru kwa bro... Nilifika nawaelezea kwamba nimekuja na madini .... Kabla sijamalza kuwasimlia walishaanza kucheka kwamba tiyari ushaibiwa . Kuwapa bahasha ya kaki kuifungua ndan kokoto sio madini tena wakati niliona kwa macho yangu hapo kabla ... Yaani nilitokwa jasho mwili mzima .. ndo nkawa nimeliwa simu na hela hivyo....

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umenikumbusha mbali stori yako ni kama ya kwangu, mwanza vile vile maeneo ya kirumba natokea tuition jioni nyakabungo mwaka 2015, jamaa alitokea mbele angu amechakaa kweli kweli maelezo kama uliotoa . Yeye alidai anaitaji msaada wa mtu kumpeleka sehemu wanaponunua madini au kwa sonara.. nilimwambia kuwa mimi ni mgeni hapa mjini kwahyo sijui ni wapi wanapatikana masonara.. nilpokuwa bado naongea nae nataka kuondoka gafla katokea jamaa mwingine, kaja kajifanya ajui kinachoendelea ndo jamaa kamsimlia yule akasema anafahamu walipo masonara kwo atamsaidia kumpeleka. Hapo nkataka kuondoka zangu wakasema hapa subiri tumsaidie jamaa kumpeleka kwa sonara akiuza tutakupa mgao kidogo ... Safari ikaanza kutembea kwenda kwa sonara, mbele kidogo yule jamaa mwenye mali akasema ana njaa ajala siku nzima ndo wakanambia una shingap hapo tumpe jamaa ale chakula kwanza tukiuza unapata hela yako .. mfukoni nilikuwa na na elfu 5 noti na simu ya smart yenye touch na batati kwa pamoja nahis mnazikumbuka hiz simu .. wakasema mimi niende na mzigo had kwa sonara watanikuta hapo nawasubiri, maana yule aliekuja kujifanya kutoa msaada wa wapi wanapatikana masonara alisema wanapatikana Misheni. Wakanambia nimwachie mwenye mzigo simu ili nisije kukimbia na mali . Nkaacha simu na hela nshawapa, mimi uyo hadi misheni kulikuepo na jengo la ghorofa kabla alijavunjwa , nilikaa misheni tangu saa kumi na mbili hadi saa mbili kasoro bila wale jamaa kutokea .. ndo nkaanza kuhisi nshaibiwa, Ikabidi nainze kutembea tena kutoka mishen hadi bwiru kwa bro... Nilifika nawaelezea kwamba nimekuja na madini .... Kabla sijamalza kuwasimlia walishaanza kucheka kwamba tiyari ushaibiwa . Kuwapa bahasha ya kaki kuifungua ndan kokoto sio madini tena wakati niliona kwa macho yangu hapo kabla ... Yaani nilitokwa jasho mwili mzima .. ndo nkawa nimeliwa simu na hela hivyo....

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hata mm nmewahi tokewa 2010 o level Ila mm niliona betr ndogo
 
Mi nilitapeliwa na wauni arusha walinikaribisha mjini kwa kweli nilipita mtaa Fulani nikakuta kuna mnada wa vitu mbali mbali kama laptop, tv ,simu na kadhalika kwa haraka haraka nikaona Samsung s9 nikauliza hii bei gani mi nikakata ofa 50k ikaanza kupigwa mnada Mara kunamwingine kapanda mpaka 120k mi nikaamuwa kufunga hesabu nikatamka 150k Mara baada ya kutamka 150k nikaskia top 150k kumaanisha Mimi ndio nimeshinda nikachukua chaja na simu na kilakitu kufika getto nikaweka simu kwenye chaji ikalala kabisa kesho yake nawasha simu ,simu inawaka na kwenye kioo yakatoka maandishi ya neno ( princess ) nikajua hapa nishaliwa nikatafuta demu nikamwonga tu .

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka fulani nkiwa nipo mjini Tarime kimakazi,around 2000s Sasa pale Tarime mjini kila siku ya Jpili huwa kuna Gulio wenyewe wanaitaga siku ya soko,nkiwa napita mitaa fulani hv kuna jamaa nkawakuta wanacheza ile michezo ya kuchanganya viberiti au kekundu na keusi.
Kwa wakati ule ukizingatia na udogo nilokuwa nao ikabidi nkae nitazame wenye fweza zao wanavyonaswa nao hao jamaa,kiukweli pipo zilikuwa nyomi,sasa kuna Mkurya mmoja alikuwa na wenzake wakawa wamepita pale na wakavutiwa kucheza,na kwamujibu wa maongezi yao baada ya tukio lile inaeleka jamaa walikuwa wametoka kuuza mikungu ya ndizi kadhaa pale gulioni.

MKASA NA VURUMAI

Mmoja wa wale jamaa akavutika na hatimaye akajikuta ana nasa kwenye ule mchezo,mchezo ukaendelea kwa kasi huku raia wengine tukiwa watazamaji na mashuhuda,jamaa akaliwa kipindi cha kwanza,na akacheza tena hatimaye akala,alipo bahatisha kiberiti chenye njiti husika yaani kula wale jamaa wakamwambia inabidi uweke kiasi fulani cha pesa ili ukomboe pesa yako uliyoliwa,jamaa pasi na hiyana akatia mzigo,akapigwa!,kuanzia hapo sasa mwendo ukawa wa kuliwa tu,yeye akila anaambiwa tia mzigo ukomboe uliyoliwa,Jamaa baadae anakuja kushtuka kapigwa pesa yote na kabaki mtupu.

Sasa inaonekana wale wenzake wakaanza kumnanga kwa ki-lugha (kikurya) " Leo utaenda kumwambia nini baba yako,leo utapigwa mpaka ufe Chacha"-nimejaribu kutafsiri kikurya,Jamaa kusikia vile akaanza kulia mpaka kamasi zinamtoka sasa ikabidi aanze kuwaambia jamaa wamrudishie pesa yake,wale jamaa wakawa wanachukulia kama utani huku wakiendelea kuliza watu wengine kama kawaida.
Aisee usiombe kushuhudia vita ya Mkurya akiwa kachachamaa,wale jamaa zake walitoa mapanga na wakaanza kuwacharaza wale jamaa huku jamaa akidai pesa zake,sasa miongoni mwa wale jamaa wachezesha viberiti alipata upenyo akakimbia na zile hela na jamaa wakaanza kumfukuza,nilichoshuhudia ni jamaa kakamatwa na kapigwa mapanga ya kufa raia,Wale jamaa walifanikiwa kuzipata hela zao na ikabidi warudi kule kwa wale jamaa wa mwanzo waloanza kuwashughulikia,sasa kwa madai yao walianza kuwaita "WASAGHANE"-Tafsiri yake ni mwanamke ambaye hajatahiriwa,walipigwa mapanga mpaka difenda ya polisi inakuja pale ilibidi waondoke maana wakurya wamechachamaa na walishindwa kutuliza ule "Mzuka"wa wale jamaa....

Kiukweli mi ilibidi nichanje mbuga maana nilihofu usalama wangu...


TOKA HAPO NKASEMA HAWA JAMAA ZETU (WAKURYA)HAWAFAI HATA KIDOGO,NYIE WAONENI TU

Tulia hivyo hivyo dawa ikuingie..
 
Nilivyoibiwa boda boda

Nipo kijiwen nikisubiri abiria mara wakaja waaume wawili mmja mtu wa makamo 40/55 amevaa miwani mweusi akionekana ni mtu mwenye ulemavu wa macho (kipofu) na mwengine ambae ni kijana Kati ya miaka 18/25 akimsadia kumuongoza njia huku wote wamekamata ile fimbo.
Wamefika kwangu yule kijana akanambia huyu abiria anaenda manzese darajani sh ngap?.Nikamwmbia buku tatu kipofu akaomba nimsaidie ana elf 2 nikakubali nikampakia mbele kdogo kipofu akaangusha fimbo yake akanmbia samahn fimbo yang imeanguka nikasimam nikaangalia kweli nikaiona haikuwa mbal na niliposimama

Si nikajichanga kwenda kumuokotea fimbo bila kuizima boxer yangu kudadeq hatua kama tano hivi nikasikia chombo inapigwa race ya kufa mtu kugeuka nyuma mtumeee kipofu anaendasha pikipiki
 
Nilivyoibiwa boda boda

Nipo kijiwen nikisubiri abiria mara wakaja waaume wawili mmja mtu wa makamo 40/55 amevaa miwani mweusi akionekana ni mtu mwenye ulemavu wa macho (kipofu) na mwengine ambae ni kijana Kati ya miaka 18/25 akimsadia kumuongoza njia huku wote wamekamata ile fimbo.
Wamefika kwangu yule kijana akanambia huyu abiria anaenda manzese darajani sh ngap?.Nikamwmbia buku tatu kipofu akaomba nimsaidie ana elf 2 nikakubali nikampakia mbele kdogo kipofu akaangusha fimbo yake akanmbia samahn fimbo yang imeanguka nikasimam nikaangalia kweli nikaiona haikuwa mbal na niliposimama

Si nikajichanga kwenda kumuokotea fimbo bila kuizima boxer yangu kudadeq hatua kama tano hivi nikasikia chombo inapigwa race ya kufa mtu kugeuka nyuma mtumeee kipofu anaendasha pikipiki
Mkuu nimecheka hapa watu wananishangaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemaliza form 4 nikafaulu kwenda 5. Nikaitwa 5 Dodoma. Mzazi akaninunulia Alcatel simu kama zawadi. Hio cku nimepewa kitu kama 80k ya kuweka kwenye account ya shule kama ada. Natembea zangu road kwa walioko Arusha wanapajua pale shoppers (previously Nakumat). Natembea nimeweka headphone masikion nimepiga pamba nakula ngoma tu na pesa mfukoni. Nikasimamishwa na majamaa wawili ghafla wakaanza nihoji kuwa "kuna hela imeibiwa duka dukan kwa Benson usiku, kitu kama milioni 20" kwa hio wanacheki hela waone kama namba za pesa ni zile zilizoibiwa kwa Benson. Wao ni askari na walikuwa wamevaa miwani nyeusi. Nikaulizwa kiasi nikataja. Si nishaogopa ni mapoti. Basi wakaniambia tunaomba twende ofisini hapo sokoni kilombero wacheki kama ni zenyewe. Mimi nikawafata. Wakaniingiza kwenye kinyumba flan kama vile kiofisi kumbe kihotel tu. Wakaniambia leta hio hela tukaangalie namba ndan wewe kaa kwenye bench.si nikakaa subiri lisaa lizima polisi warud wapiiiii. Ikabid nizame. Nakuta watu tofauti.daaaah, nikiambiwa tu kuwa hakuna ofisi hapa ni hotel. Nikaenda nyumban na machozi juu. Daaah. Wale jamaa wana madawa ase. Unakuwa boya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilivyoibiwa boda boda

Nipo kijiwen nikisubiri abiria mara wakaja waaume wawili mmja mtu wa makamo 40/55 amevaa miwani mweusi akionekana ni mtu mwenye ulemavu wa macho (kipofu) na mwengine ambae ni kijana Kati ya miaka 18/25 akimsadia kumuongoza njia huku wote wamekamata ile fimbo.
Wamefika kwangu yule kijana akanambia huyu abiria anaenda manzese darajani sh ngap?.Nikamwmbia buku tatu kipofu akaomba nimsaidie ana elf 2 nikakubali nikampakia mbele kdogo kipofu akaangusha fimbo yake akanmbia samahn fimbo yang imeanguka nikasimam nikaangalia kweli nikaiona haikuwa mbal na niliposimama

Si nikajichanga kwenda kumuokotea fimbo bila kuizima boxer yangu kudadeq hatua kama tano hivi nikasikia chombo inapigwa race ya kufa mtu kugeuka nyuma mtumeee kipofu anaendasha pikipiki
Mkuu nimecheka hatari,. Naona kipofu kaona mwezi
 
Nilivyoibiwa boda boda

Nipo kijiwen nikisubiri abiria mara wakaja waaume wawili mmja mtu wa makamo 40/55 amevaa miwani mweusi akionekana ni mtu mwenye ulemavu wa macho (kipofu) na mwengine ambae ni kijana Kati ya miaka 18/25 akimsadia kumuongoza njia huku wote wamekamata ile fimbo.
Wamefika kwangu yule kijana akanambia huyu abiria anaenda manzese darajani sh ngap?.Nikamwmbia buku tatu kipofu akaomba nimsaidie ana elf 2 nikakubali nikampakia mbele kdogo kipofu akaangusha fimbo yake akanmbia samahn fimbo yang imeanguka nikasimam nikaangalia kweli nikaiona haikuwa mbal na niliposimama

Si nikajichanga kwenda kumuokotea fimbo bila kuizima boxer yangu kudadeq hatua kama tano hivi nikasikia chombo inapigwa race ya kufa mtu kugeuka nyuma mtumeee kipofu anaendasha pikipiki
Mpaka kesho ujawah wapata tena????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi niliwahi kuuziwa dhahabu miaka ya 2000s kipindi hicho ndo naingia mjini.

Nilitoka kwetu kijijini kuelekea mwanza mjini nilifika stendi nilishuka vizuri tatizo lilianza nilipoanza kukatiza mitaani mbele yangu alitokea jamaa mmoja amechakaa Sana akiwa anaongea lafudhi ya kisukuma aliniambia Kuna wazungu wamepata ajali maeneo ya Geita na yeye alifanikiwa kupata dhahabu kidogo katika ajari ile hivyo alikuja Mwanza mjini kutafuta wateja aliniambia nimsaidie atanipa kiasi kidogo
Sikuwa tayali kuachia utajili fasta nilimuuliza Ni shi ngapi aliniambia nimpe 40k by that time.

Mfukoni nilikua na 10k nilishusha mpaka akakubali akanipa mzigo nikalipa tukaachana.

Baadae nilikuja kucheki mzigo umegeuka mawe daaaah ! Jamaa aliniotea.

Tupia story yako ulivotapeliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnajipanga ili mkatapeliwa tena. Wasukuma bwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom