Huu mradi ni wa mabillion ya pesa
Phase 1 ya mwendokasi mlioperate kwa hasara mkashindwa kununua magari mapya na huduma ikawa mbovu kupindukia
Suluhisho
1.Badilisheni nauli kituo hadi kituo iwe TZS 1,300 - 1,500
2.Ongezeni operator mwingne kuwe na ushindan
Unaogopa kutembea kwenye nchi yako sababu utatekwa!
Na iko hivi unawezwa kutekwa kwa kuchanganywa sura (kutekwa kimakosa) na watekaj umewaona unadhan watakuacha?
Unataka kuwe na Uzalendo?
Waziri wa Afya anaenda kuwasilisha bajeti ya wizara na designer bag yenye thamani ya USD 5,000
Unataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.