we jamaa sikujibu swali mpaka utapojibu swali langu la sivyo utakuwa unanihoji tena sio mazungumzo
jibu swali ili ulete swali sasa maswali upande mmoja kama nipo polisi mie sitaki
anyway mchezaji hatari wa cheisii ni pedro neto tu
kila akishika mpira unajua kuna jambo anataka kufanya ila hao mnaowapigia kelele mnawajaza ujinga tu
mmemuona tsoliz haimbwi kwa presha so anafanya huku hakuna matarajio makubwa kwake tofauti na hao mia mia
bruno g angekuwa chelsea angeanza...
font silii ya chelsii walichopata cha kufanana ni kadi za njano tu
sasa hivi wao ndio wanatumia set pieces kupata magoli
tukianza sisi mtasikia hadi mamaake molinyo analalamika
hivi unajua unaandika vitu visivyoeleweka na wewe unachotaka ni nini
team au mchezaji
maana kwenye team sijazungumzia popote
hapa ni mbuzi tu kama unatafuta al ahly ikupe faraja tafuta faraja nyingine
kama unaona messi hastahili kuitwa goat nitajie anayestahili kwa vigezo vyako ila kumbuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.