Recent content by MO11

  1. MO11

    JamiiForums Tanzania Ni bora kuoa au kuhudumia kuliko kutoa elfu 50 kumwaga mbegu kwenye kinga kwa malaya

    hiyo bei unategemea unamnunua akiwa wapi na saa ngapi bei zinashukaga hadi wanakopesha hao
  2. MO11

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    mchango wa pili kwa pili
  3. MO11

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    mbona huulizi aliyewakimbia halafu akawafunga na akashangilia
  4. MO11

    JamiiForums Tanzania Post ya Lionel Messi instagram yazua gumzo akidai kuwa mjadala wa GOAT umetamatika

    bado unaniuliza maswali tu
  5. MO11

    JamiiForums Tanzania Post ya Lionel Messi instagram yazua gumzo akidai kuwa mjadala wa GOAT umetamatika

    we jamaa sikujibu swali mpaka utapojibu swali langu la sivyo utakuwa unanihoji tena sio mazungumzo jibu swali ili ulete swali sasa maswali upande mmoja kama nipo polisi mie sitaki
  6. MO11

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    wengine wote kasoro arsenal nawasiopata magoli
  7. MO11

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    anyway mchezaji hatari wa cheisii ni pedro neto tu kila akishika mpira unajua kuna jambo anataka kufanya ila hao mnaowapigia kelele mnawajaza ujinga tu mmemuona tsoliz haimbwi kwa presha so anafanya huku hakuna matarajio makubwa kwake tofauti na hao mia mia bruno g angekuwa chelsea angeanza...
  8. MO11

    JamiiForums Tanzania Post ya Lionel Messi instagram yazua gumzo akidai kuwa mjadala wa GOAT umetamatika

    hebu jibu swali hili wewe unaona ni nani anastahili kuwa goat weka na vigezo kama messi hafai
  9. MO11

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    font silii ya chelsii walichopata cha kufanana ni kadi za njano tu sasa hivi wao ndio wanatumia set pieces kupata magoli tukianza sisi mtasikia hadi mamaake molinyo analalamika
  10. MO11

    JamiiForums Tanzania Post ya Lionel Messi instagram yazua gumzo akidai kuwa mjadala wa GOAT umetamatika

    hapa nimekuuliza
  11. MO11

    JamiiForums Tanzania Post ya Lionel Messi instagram yazua gumzo akidai kuwa mjadala wa GOAT umetamatika

    r ronaldo vs rooney euro 2004
  12. MO11

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    kwa hiyo mnamtegeme kopama
  13. MO11

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    man u wana ugomvi na cleensheet
  14. MO11

    JamiiForums Tanzania Post ya Lionel Messi instagram yazua gumzo akidai kuwa mjadala wa GOAT umetamatika

    wewe mbona hutaki kujibu maswali
  15. MO11

    JamiiForums Tanzania Post ya Lionel Messi instagram yazua gumzo akidai kuwa mjadala wa GOAT umetamatika

    hivi unajua unaandika vitu visivyoeleweka na wewe unachotaka ni nini team au mchezaji maana kwenye team sijazungumzia popote hapa ni mbuzi tu kama unatafuta al ahly ikupe faraja tafuta faraja nyingine kama unaona messi hastahili kuitwa goat nitajie anayestahili kwa vigezo vyako ila kumbuka...
Back
Top Bottom