Hapa, Wife ni Director of Finance kwenye kampuni moja, ila kwa sasa ameshauriwa na Daktari wetu wa nyumbani asiwe anaenda kazini cause muda wowote mambo yanaweza yakatiki.
kwani ungesema daktari tu tusingekuelewa mpaka uongee wa...
Usimpe hela kama ana shida sana akamuombe baba yake mzazi. Kwani wewe ndio umemleta mjini au bush kama bado mko huko?
Hahahahaha nimechekaajeeeeeeeeeeeeeeeee
Mwayego wala usiumie kuhusu hilo, kama ipo ipo tu muumba ndo anayejua; Nina mama angu mdogo ana miaka 37 lakini mungu kamjalia kapata mume na sendof yake tunaifanya 25 mwezi huu. Na wala hakuwahi kuolewa wala kuwa na mtoto , Mungu kama kakuandikia kitu fulani kitakua tu hata kama kwa kuchelewa.
Du pole mtoto bado mdogo,sana mimi wala sishangai yashanikuta hayo nami nimelelewa na mama wa kufikia yani hayo unayoongea ni kama umecopy na kupaste maisha yangu yani mzee alikua akininunulia vitabu vya shule ni shida, nikipewa kishilingi mia cha kwenda nacho shule ni shida mtu ananuna ...
off course most of my friends wananiambia huenda jamaa mimba kwake ni sumu kwa hiyo akinipachika na mimi huenda akasepa au wananiambia atakua na matatizo af kitu kingine anachonishangaza kwenye maogezi yake anadai kwao wanamwambia aoe sasa mimi napata majibu huenda anaoa kwa ajili ya kuambiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.