Nimchague yupi kati ya hawa

hahaha! yani ni hatari ukizingatia mtu mwenyewe ata 29 hajafika lakini watoto 4
 
huyo mwenye watoto wa4 ni ligi kuu daaa afu mama tofauti aiseee
 
hapo hamna pa kwenda aisee, watto wa 4 kila mtoto na mama yake? du hata wafungaji wa magoli ya brazili walikuwa wanafunga ma2. njoo kwangu tu utaona umeingia kwenye ufalme mpya wa mapenzi chini ya kocha wa germany.
 
hapo hamna pa kwenda aisee, watto wa 4 kila mtoto na mama yake? du hata wafungaji wa magoli ya brazili walikuwa wanafunga ma2. njoo kwangu tu utaona umeingia kwenye ufalme mpya wa mapenzi chini ya kocha wa germany.

Don't tell me
 
Option ya kwanza ni wazi haikufai. Option ya pili - Kijana ana miaka 29, wewe umri si chini ya miaka 29. Kifupi umemzidi umri. La pili ni dini tofauti. Hayo yote mawili si tatizo kama kuna upendo kati yenu. Wakati mwingine huwa nashangaa watu kuzungumzia dini wakati ukweli wenyewe misikitini/makanisani kwao ni vituo vya polisi. Siku hizi ukipenda badili hata kabila!


umeona eee!! nimeseme umri si chini ya 27
 
hebu tuambie ukiachia upendo huyo wa pili anaweza kuoa bila kipingamizi toka familia zote mbili au mmeplan ndoa ya aina gani au mmeplan kujilipua kujifungisha wenyewe hata wazazi wakigoma if ndoa inawezekana na hakuboi nenda kwa wa pili

wa pili anadai atabadili dini anifuate ila nahisi ni gia tu ya kunipata nimkubalie ombi lake!!
 
Mwenye Watoto wanne ni kimeo hiko cha kufa mtu....kama hata hilo hulioni basi wewe nae ni kimeo kingine..

off course most of my friends wananiambia huenda jamaa mimba kwake ni sumu kwa hiyo akinipachika na mimi huenda akasepa au wananiambia atakua na matatizo af kitu kingine anachonishangaza kwenye maogezi yake anadai kwao wanamwambia aoe sasa mimi napata majibu huenda anaoa kwa ajili ya kuambiwa na sisi yeye mwenyewe ameamua na may be ndugu wamemwambia aoe ili asiendelee kua na rundo la watoto wa nje. Hapo napata majibu jamaa anaoa kwa sababu ya kuambiwa na huenda na mimi nikaingia yakanishinda
 
off course most of my friends wananiambia huenda jamaa mimba kwake ni sumu kwa hiyo akinipachika na mimi huenda akasepa au wananiambia atakua na matatizo af kitu kingine anachonishangaza kwenye maogezi yake anadai kwao wanamwambia aoe sasa mimi napata majibu huenda anaoa kwa ajili ya kuambiwa na sisi yeye mwenyewe ameamua na may be ndugu wamemwambia aoe ili asiendelee kua na rundo la watoto wa nje. Hapo napata majibu jamaa anaoa kwa sababu ya kuambiwa na huenda na mimi nikaingia yakanishinda
Kwani wewe ni mbaya sura sana?au maskini sana?au una nini hadi ujiingize utumwani?una tatizo la akili?rafiki zako wanakwambia ..we huoni?
 
hapo hamna pa kwenda aisee, watto wa 4 kila mtoto na mama yake? du hata wafungaji wa magoli ya brazili walikuwa wanafunga ma2. njoo kwangu tu utaona umeingia kwenye ufalme mpya wa mapenzi chini ya kocha wa germany.

Don't tell me
 
Tupo tofauti niliyenae nilimkubali kutokana na yeye kuwa na ninavyovihitaji,au tabia ninazoziweza,
ikiwa mwanamke amekukubali kisa tu wewe ni mwanaume na umemtongoza kutakua na walakini kwenye huo uhusiano,
Mwanamke tena vigezo?
hata kwenye vitabu vitakatifu imeandikwa mwanaume atapenda na mwanamke atatii.
 
Back
Top Bottom