xfactor
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,511
- 1,290
ngoja singo dady wakusikie
I am a single dad but I agree with him
ngoja singo dady wakusikie
Kwani wewe ni mbaya sura sana?au maskini sana?au una nini hadi ujiingize utumwani?una tatizo la akili?rafiki zako wanakwambia ..we huoni?
Rudi mtaani katafute option ya 3 kama haupo desperate sana na ndoa'
Hao wawili hawakufai hata
huyo wa kwanza mwenye watoto 4 ndio mara nyingi ni chaguo la wanawake na hawa jamaa huwa wanaijuwa vyema lugha wanayoipenda wanawake.
huyo wa pili sijui ni mlokole labda akajaribu bahati yake kanisani. if you deeply kwenye moyo wa mdada huyo abdallah nyumba nyingi ndio chaguo lake hapa kaja kupima upepo tu.
poleni sana wanaume watulivu na waadilifu hamna nafasi katika mioyo ya wanawake walio wengi.
huyo wa kwanza mwenye watoto 4 ndio mara nyingi ni chaguo la wanawake na hawa jamaa huwa wanaijuwa vyema lugha wanayoipenda wanawake.
huyo wa pili sijui ni mlokole labda akajaribu bahati yake kanisani. if you deeply kwenye moyo wa mdada huyo abdallah nyumba nyingi ndio chaguo lake hapa kaja kupima upepo tu.
poleni sana wanaume watulivu na waadilifu hamna nafasi katika mioyo ya wanawake walio wengi.
Achana nao wote. Hata ungekuwa 30+, tulia utapata anayefaa.