some people they don't cry until they see a coffin.
Ngoja nitakutafutia tu timing, utakuwa unaleta bila kujijua.
na dunia ya sasa wanaume wengi wanapenda dezo. utasikia ohh sitaki kuoa goli kipa nataka msomi kama mie maisha magumu. akishampata kila jukumu la mwanamke masikini wamama tulivyo na huruma ukishaambiwa ahh we lipia ada za watoto bwana si una mshaharaunatoa sasa utaacha watoto wasiende shule kisa baba yao kakataa kutoa ada. ,kesho utasikia mama nanihii bill ya maji hiii rekebisha basi yeye kutwa pesa zake katika viwalo ,starehe na wenzake baa vikao vya harusi nk.
Miezi Sita yote hiyo watu Miezi 2 Mingi mtu anakuwa ameshaingia king na kadi zote anakabidhiIla kwa wenyeji ni rahisi kumtafuta na kujua info zake, lakini kwa huyu jamaa dada wa watu hata alikuwa hajui wapi aulizie habari zake.
Hafu dada mwenyewe ni mjanja, born town lakini kakutana. Imagine ndani ya miezi sita mapenzi yameshamiri mpaka jamaa kajitambulisha na hela kapewa.
Iron Lady, hivi kweli kuna wanaume wa aina hiyo?!!!
Ila kwa wenyeji ni rahisi kumtafuta na kujua info zake, lakini kwa huyu jamaa dada wa watu hata alikuwa hajui wapi aulizie habari zake.
Hafu dada mwenyewe ni mjanja, born town lakini kakutana. Imagine ndani ya miezi sita mapenzi yameshamiri mpaka jamaa kajitambulisha na hela kapewa.
Sio maforeigners tu... hata wabongo wapo matapeli waliokubuhu...
Nilikutanaga na mmoja hivi, ye alidai anafanya kazi na watu wa migodini anasupply spare party. Ni msiri sana, simu zake anapokea kimachale au anakuwa na mfululizo wa simu nyingi na za muda mrefu.
Kuzima simu kwake ni kawaida yaan haeleweki, ni msiri na muongo wa kutupwa...
Baada ya muda akanambia kuwa ile biashara ya kusupply spare party inalipa sana, yaan shilingi inazaa shilingi. Basi nami nimjoin kwa kuanza nianze na 2mil. It means nitapata faida 2mil nyingine. Lakini titagawana faida yaan yeye achukue 1mil na mie 1mil.
Si nikakubali, lakn hapo kati akaniomba nimuazime laki 2. Atanirudishia siku 3 baadae, ile kuja kumdai si akaanza oooh ina maana huwezi kunipa hela nikiwa na shida mpaka nikurudishie....
Oooh... Machale yakanicheza, hata hizo 2mil zingeenda na maji. Kuanzia hapo sikutaka mawasiliano naye mpaka leo.
Matapeli wapo kila kona aisee, si foreigners pekee!
Basi wameamua hao wacameroon, me nlikutana na mmoja Bank..Wacha aning'ang'anie....na vile mtoto nlikuwa nimetupia ushungi akaja na gia kali sana ya ndoa...
Bahati nzuri sijawahi kuwaza kuolewa na foreigner even mmakonde mwenzangu wa Msumbiji....tutabanana huku huku uzaramoni....
Cha ajabu katika Chating nikamuuliza unaishi wapi? Mara anambie Kinondoni, mara Magomeni, mara Kariakoo...mwishowe akafunguka eti anataka aje aishi kwangu....Mwee hapo me mwenyewe nlikuwa naishi hostel...!
Nikaona hapa ni shida tu, nikampotezea...halafu mtongozo wenyewe ulikuwa kwa kizungu ndo kabisaa nikaona ananichosha kunihangaisha na dictionary...
Wadada tuwe makini sana, jamaa wameamua...!