Recent content by Mnyigumba Two

  1. M

    Diamond, ni nani kakwambia Sumaye na Lowassa ni kabila moja?

    Maoni yangu ni kwamba vyovyote iwavyo si sahihi kuwatuhumu wasanii wanaoamua kushabikia upande. Wanazosababu kama ninyi mlioamua kuwa upande wa pili. Hebu tujiulize ikiwa UKAWA itachukua ikulu ndio kusema wasaniii wote itabidi wawe upinzani ? yaani CCM ,TLP nk? tuache hoja kengeufu
  2. M

    Vitu vya kuzingatia kwenye utunzi wa shairi

    Maana hii ya USHAIRI imepotoshwa! Shairi si lazima kuwa na vina!!! Kasome kuhusu MGOGORO WA USHAIRI TANZANIA
  3. M

    Hakuna nchi iliyoendelea kwa kubadilisha Chama!

    Si dhani ikiwa hoja hii ya kubadili vyama na suala la maendeleo inatosha kuitetea CCM! Kitu cha kujifunza ni kwamba nchi zinazotajwa kuwa hazikubadili vyama viongozi wake WALIWAJIBIKA KWELIKWELI na wakaacha misingi ambayo waliofuata waliizingatia katika kujenga nchi na pengine kuboresha...
  4. M

    Shigongo unajidhalilisha sana mdogo wangu

    Bila kuangalia maisha binafsi ya Shigongo, yeye kama binadamu anahaki ya kushabikia upande wake! Kwani hakuna meadia zinazoshabikia upande? Tuache unazi. Si lazima wote wawe kwa masai! ITV inatenda haki? Habari Corperation? Je Mawio? Nadahini heri Shigongo aliyejipambanua hadharani kuhusudu...
  5. M

    Kwanini Wakenya wako obsessed sana na Watanzania?

    Ras usemayo ni sawasawa! Mie ni MTZ lakini siwezijivunia uvundo! Kati ya sifa nzuri kwa binadamu SIO KUWAJUA WENGINE BALI KUJIJUA! sina hakika ikiwa wachangiaji waTZ wanajijua kama waTZ! Yaani uwezo na udhaifu. Nadhani desturi za LELEMAMA za pwani zimeharibu uongozi wanchi na hatimaye raia...
  6. M

    Ni kweli Chadema hakuna personel? Ni kweli kuwa hakuna aliyefaa kuwa Rais wa JMT ndani ya CHADEMA?

    Ndugu umenisafisha moyo wangu. Umesema yale yaliyonisumbua sana. Waungwana wakisema hapo rupia ilipenyezwa ili kuondoa UDHIA hakuna wa kubisha. Tunapochambua hali halisi pasipo ushabiki wa kisiasa ndipo tunafanikiwa kujitambua zaidi.Ni kweli wengi wanataka mabadiliko lakini YEPI na KWA NJIA...
  7. M

    Mbowe kubadili gia Angani kwaiponza UKAWA, Magufuli ni Rais anayesubiri kuapishwa

    YAAHNI NIMEFURAHIJE/ wacha yaendelee kukwaruzana! Dhamabi inawatafuna.
  8. M

    TIMU Magufuli tukutane hapa

    Nipo nawe,nipo na magufuli nipo na chama cha mapinduzi!!!
  9. M

    Nimeumizwa sana na Dr. Slaa

    CHDM hakuna maslahi ya umma bali ya wachache tu hivyo achana nao mzee kwa heshima kuu uliyojijengea
  10. M

    Dr. Slaa hawezi kuwa Rais-Tufikie hatua tuwe wakweli na wenye kuwaza kwa kina

    HAYO YA SLAA NDIO UNAYASEMA LEO WAKATI AMEWABWAGA? Hivi hapo nawewe unajiona umetoa HOJA ya maana? acha hizo! Mbona hamkumuwajibisha baada ya kuona ametumia fedha vibaya? NYIE MMEZOEA SANA KULA MAKAPI HAYA YACHUKUWENI YOTE NA IKIFIKA OKTOBA UKIWA UTAWAINGIA!!
  11. M

    CCM imeanza kuzaliwa upya na kutakaswa

    Sio kila mabadiliko ni chanya. Mabadiliko mnayotaka chadema na ukawa ni hasi kupindukia!! Hatutaki kujuta kwanini tumechagua chama mbadala. Endeleeni kusubiri mlangoni!
  12. M

    Dr. Slaa: Natishwa

    mahesabu ya kuuza ndizi na maparachichi na yale ya kuongoza watu ni vitu viwali tofauti kama mbingu na dunia! Mbowe anafikiri kila kitu ni biashara ya bidhaa! Mfano wa maji KUPWA na MAJI KUJAA ni dhaifu sana na inaonekana hajui fasihi kabisa. Anajiridhisha kwamaba anajua sana kuongea(orator)...
  13. M

    Haya ndio maamuzi magumu ya Lowassa Vs Magufuli

    Du! Kweli Lowasa katuchanganya mpaka mnatukanana hivi? Tuiombee Tanzania Yetu. Hao watu watapita,hivyo vyama vitapita bali Tanzania haitapita!
  14. M

    Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

    Amina! Umeonge kama mtanzania makini. System haitamwangalia mtu wala kikundi bali uhai na afya ya mama yetu tanzania! Mungu aipe system hekima na ujasiri
  15. M

    UCHUNGU: Lowassa hawezi kuwa Rais tena popote duniani

    MASIKINI LOWASA DUNIA INAKUPITA KAMA ULIVYO URAISI. URAISI UNAKUPITA JUU LEO KAMA ILIVYOKUWA 1995. HAKIKA MUNGU ANA MAKUSUDI YAKE HEBU ISIKILIZE SAUTI YAKE. WANAOSEMA WEWE NI SHUJAA WA KIMASAI WANAKUHIMIZA KWAMBA KWA SHUJAA HUENDA KILIO NA KWA MUOGA KUKAWA KICHEKO! HERI UWE MUOGA SI KWA...
Back
Top Bottom