mangaukawa
Senior Member
- Dec 5, 2014
- 153
- 63
- Thread starter
- #81
Magufuli akishinda Napiga Mbizi Mpaka Madagascar.
Usifanye hivyo Kamanda unaweza kufa ama kuliwa na samaki, yeye hana kundi wa wa kuwapa fadhila sembuse visasi?, hata ua ama kupiga mtu yeye kaziyake ni kuipeleka Tanzania mbele, kiadilifu zaidi.