Dr. Slaa: Natishwa

Dr. Slaa: Natishwa

Mh Mbowe amesema, ametumia kila njia kumshauri na pia kutumia kila njia kumshawishi Dk Slaa lakini wameshindwa.

Chanzo: Uhuru
Sipati picha jamaa wa Form Four akimpa ushauri ulioenda shule, Dr wa Divinity(PhD) na akamkubalia!!
 
Dr Slaa kubaliana na wenzako muimarishe chama chenu huu ni muda wa kuwa wamoja tumia busara yako Dr
 
mahesabu ya kuuza ndizi na maparachichi na yale ya kuongoza watu ni vitu viwali tofauti kama mbingu na dunia!
Mbowe anafikiri kila kitu ni biashara ya bidhaa! Mfano wa maji KUPWA na MAJI KUJAA ni dhaifu sana na inaonekana hajui fasihi kabisa. Anajiridhisha kwamaba anajua sana kuongea(orator) lakini hakuna kitu anabwabwaja tu! Dr Slaa anaelewa vema na anamaadili ndio maana hataki ujinga. Mnajaribu kufunika sana kwamba eti ANAPUMZIKA!! hA!HA! ukweli utatoka tu wala si muda mrefu na hasa subiri mkiangukia pua mwezi Okctoba! Dk hashawishiki kwa mambo ya kiusaliti kama haya!
VIVA DAKTARI! VIVA TANZANIA. BIASHARA YA MAPARACHICHI SI BIASHARA YA SIASA!
 
Wapishane tu kama vipi. Lowassa amekuja cdm basi slaa aondoke zake maana nafsi huenda inamsumbua kuwa asiwe mnafiki kupretend anakubaliana na uamuzi wa kumpokea Lowassa na straight kumpa ugombea urais wakati slaa ametoka jasho na amehatarisha maisha yake kujenga chama. Chadema waheshimu uhuru wa mawazo sio mbowe ndo awe kila kitu. Sasa mnaona why zitto aliwapisha. Yanawarudia.
 
Wapishane tu kama vipi. Lowassa amekuja cdm basi slaa aondoke zake maana nafsi huenda inamsumbua kuwa asiwe mnafiki kupretend anakubaliana na uamuzi wa kumpokea Lowassa na straight kumpa ugombea urais wakati slaa ametoka jasho na amehatarisha maisha yake kujenga chama. Chadema waheshimu uhuru wa mawazo sio mbowe ndo awe kila kitu. Sasa mnaona why zitto aliwapisha. Yanawarudia.

jasho gn wakati aliweka masharti alipwe km mbunge na km katibu mkuu mchumia tumbotu
 
mahesabu ya kuuza ndizi na maparachichi na yale ya kuongoza watu ni vitu viwali tofauti kama mbingu na dunia!
Mbowe anafikiri kila kitu ni biashara ya bidhaa! Mfano wa maji kupwa na maji kujaa ni dhaifu sana na inaonekana hajui fasihi kabisa. Anajiridhisha kwamaba anajua sana kuongea(orator) lakini hakuna kitu anabwabwaja tu! Dr slaa anaelewa vema na anamaadili ndio maana hataki ujinga. Mnajaribu kufunika sana kwamba eti anapumzika!! Ha!ha! Ukweli utatoka tu wala si muda mrefu na hasa subiri mkiangukia pua mwezi okctoba! Dk hashawishiki kwa mambo ya kiusaliti kama haya!
Viva daktari! Viva tanzania. Biashara ya maparachichi si biashara ya siasa!

maadili gani ya kunyanyapa watu, kwani lowassa kajipaka mavi au ananukaa??? Yeye anaingiza mawazo ya mkewe kenye taasisi, hata vitabu vya dini vinasema msemehe mtu mara saba sabini elfu, epeleke ubinafsi wake huko,
 
si kweli kuwa slaa amejiuzulu, bado kuna mzozo katika chama hicho, mbowe jana amezungumzia na, ni kweli hakubaliani na lowasa kuhamia chadema, na kama chama wameamua kupiga kura ya kuamua kwamba slaa apumzike au asipumzike, wakati huu uchaguzi mkuu unapoelekea. habari za kurudisha gari sijui nini hivyo vitu ni vya uongo, gazeti hilo halina ushahidi wowte kuhusu habari hizo
 
Mimi nikiwa mzalendo nawapa ushauri leokatika mkutanomkuu wamwache DK awe mwanachama wa kawaida.

Hakuna kitu kibaya kuwa na frozen conflict ikiwa hakubaliani na wengi busara na kujiuzulu mwenyewe ama kulazimishwa kujiuzulu.

Kuendelea kumng'ang'ania kutakua hakuna afya kwa chama.

Kama Zitto aliondolewa, kwanini kwa Dk. mnapata kigugumizi?
 
Unafki ni dhamb inayowasumbua weng dr slaa ni mtu safi na mtu wa principles nampongeza kwa hili. Mungu atamjaria makubwa
 
Huyu mzee nilimwambia mda mrefuhawezi kuwarais wa nchi hii sasa amefanywa toilet paper
 
Back
Top Bottom