masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,409
- 14,116
Sipati picha jamaa wa Form Four akimpa ushauri ulioenda shule, Dr wa Divinity(PhD) na akamkubalia!!Mh Mbowe amesema, ametumia kila njia kumshauri na pia kutumia kila njia kumshawishi Dk Slaa lakini wameshindwa.
Chanzo: Uhuru