Recent content by mnyama

  1. M

    Mgawanyo wa majukumu katika utendaji wa serikali - Mawaziri na Makatibu wakuu

    Ni kweli kuwa mawaziri si watendaji wakuu wa wizara, bali wanatakiwa kusimamia sera na ilani za vyama vyao. Hata hivyo kwa mazoea tu au kutokua mipaka ya majuku yao wengi wamekuwa wakiimgila shuli za kila siku za wizara, ikiwa ni pamoja na kutoa amri kwa makatibu wa kuu nini wafanye au...
  2. M

    Utamaduni wetu - are we sure ?

    Kwa kweli hili swala la mila na utamaduni wetu huwa lina nipa mashaka sana. Unapoongelea utamaduni na mila za watanzania hasa unaongelea nini? Tanzania ina zaidi ya makabila 100 ambayo kila moja lina mila na utamaduni wake. Sasa utamaduni na mila za watanzania ni zipi? na zimekuwa documented...
  3. M

    JK: Rushwa ilikithiri sekta ya misitu

    Hizo ni siasa tu, hakuna rushwa ya kutisha kwa maafisa misitu. Hawa ni moja ya watu ambao wanafanya kazi ngumu sana na kwa kiasi kikubwa kwa kujitolea. Na wala hakuna lolote lililofanyika zaidi ya kubadilisha viongozi wa ngazi za juu tu waziri, na katibu mkuu. Rushwa ilikuwa inatoka juu. Mtu...
  4. M

    Mramba Aachie kiti Cha Ubunge!

    Kwani Daniel Yona siyo Mbunge? Mbona umemuongelea tu Mramba? Sheria ikoje kuhusu mbunge akituhumiwa? anasimamishwa ubunge au anaachia ubunge? Ni fikiri tuangalie sheria kuliko matakwa binafsi
  5. M

    Kuwahusu Karamagi, Rostam, na wenzao...

    naona Kikwete kaamua kujilipua, kweli usicheze na mjahidina
  6. M

    This is University of Dar es Salam bwana,its challenges towards brighter education!

    Napenda kuchangia kama ifuatavyo: Matatizo ya UDSM yamegawanyika katika katika sehemu kuu nne. Kwanza ni tatizo la kiwango cha elimu, pili ni miundombinu, tatu ni fikra za walimu, nne ni fikra za Wanafunzi. Tukianza na Tatizo la miundombinu ambayo ni madara, vyumba vya mihadhara, vyumba...
  7. M

    Kiswahili: Kutoka kwa wakenya

    Kwakweli hawa ndugu zetu wakenya wanafurahisha na kusikitisha sana wakiongea kiswahili. ukifika Nairobi utakuta hakuna mtu anajua kiingereza vizuri, hakuna anayejua kiswahili fasaha hivyo ni sheng yao tu ndo inatawala. hata hivyo wengi wanapenda kuongea kiswahili fasaha. Mimi wananionea wivu...
  8. M

    Public reacts to Dar road privatisation plans

    Private road ni sawa zikiweko, ila ziwe ni zile barabara ambazo ni "Optional" wengine wanaziita express road. hii ina maana barabara hizo zitatumiwa na watu wale ambao wana haraka na wanauwezo wa kufanya hivyo. Kwa mfano mtu anaweza akajenga underground tunnel au barabara ya juu kutoka mbezi...
  9. M

    Iliyokuwa iwe hotuba ya Rais

    JK anaogopa kuwashitaki rafiki zake, ila wakijitokeza watanzania wenye uchungu na kupinga hatua ya JK kuwasamehe mahakani atakuwa tayariku kuruhusu mchakato wa kisheria uendelee. Kwa sababu atajikosha kwa rafiki zake hao kuwa amefanya kila jitahada ila zimeshindikana na yeye hatakuwa tayari...
  10. M

    Manji anakwepa hukumu ya EPA?

    Labda ndo staili yake ya kukwepa Rungu la JK kwa mafisadi wa EPA. Au Rungu la EPA ndo limemchanganya hadi akabwia dozi kubwa ya ungwa.
  11. M

    Laptop ya JK yatoweka kiutatanishi!

    Laptop ya JK haiwezi kuwa na kitu cha maana, sana sana utakuta hotuba zake tu ambazo siyo siri. Hivi wewe unafikiri JK anaweza kutumia Laptop kwa kitu productive? Hiyo laptop inayoongelewa siyo ya JK ya binafsi ila anatumia secretary wake wanapo safiri kwa ajili ya kufanya marekebisho kwenye...
  12. M

    Laptop ya JK yatoweka kiutatanishi!

    Jeshi la Polisi wanazo kumbukumbu za wahalifu. Ingawa zinaweza zisiwe katika hali ya digital database. Wizara ya mambo ya ndani wana digital criminal database unaweza kupata data muhimu huko kwa utaratibu maalum. Wizara na Idara nyingi za serikali ikiwemo ikulu hawana digital information...
  13. M

    CBE wagoma

    Hivi CBE nacho ni chuo katika vyuo. Mabishoo wote wanaofeli o-level na A-level ndo kimbilio lao pale, sasa unategemea nini? Watu wengi pale wamefoji vyeti tu. Kuna mtoto wa uncle yangu alipata Div 0 form 4. Nikashangaa yuko CBE anafanya Diploma, hapo ndo nikakoma mwenyewe. Kumuuliza imekuwaje...
  14. M

    Laptop ya JK yatoweka kiutatanishi!

    Mara nyingi watu wanapoongelea Security kwenye IT wanafikiria zaidi network security, nikiwa na maana vitu kama Firewalls, Anti-virus, anti-spyware etc. Kosa kubwa sana watu wanalofanya ni kuto consider physical security na kuweka policies madhubuti kwa usalama wa data na vifaa. Katika...
  15. M

    Chiligati aonja machungu

    Jamani hivi hiki kijiji cha kwembe kiko sehemu gani? Mbona ardhi ambayo haikaliwi na watu ni nyingi tu, imejaa kila mahali, ukitoka bunju hapo hadi bagamoyo hakuna watu, ukitoka mbagala tu hapo mbele hakuna watu, kwa nini wasiendeleze maeneo hayo na badala yake wanakimbilia sehemu ambayo watu...
Back
Top Bottom