Msaada, kuna gari inauzwa Zambia na imesajiliwa inapiga kazi. Nikitaka kuileta Tanzania. Naomba kujuzwa utaratibu na gharama ukoje. Aina ya gari ni Rosa.
Badili kinywaji chenye adiction kama kahawa jizoweze kwenda cofee bar au hta kwenye vijiwe vya kahawa.ndani ya siku 21 utakuwa adicted na madhingira ya kahawa na huta tamani tena pombe
wazo langu.jaribu kutumia ki simu chochote chenye brooth kilicho kufa kama bruetooth amplify huo mziki utakao kua unatoka kwenye hcho ki simu.kazi kwisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.