Mimi ni Mwanamke na hapa Nakataa wazi bila kificho.
Wanawake tunapenda sana kudai usawa, kwa nini isiwe na upande wa majukumu ya kifamilia tunazingatia huo usawa?
Familia sio ya Mme, kama mna watoto, Baba anaitwa "Baba X" na "Mama X". Kwa nini swala la kuhudumia familia, au kufanya shughuli za...