Recent content by Mndamba

  1. M

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Duuuh!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Kuishia Form IV haimaanishi kwamba hana kitu ambacho labda mwenye Degree hawezi jifunza kutoka kwake.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Hata kule kwenye Creed of Nicaea 325 kulikuwa na logic yake kufikia hatma ya utatu mtakatifu. Askofu Aurus alifikiria tofauti na wenzake akaishia kufukuzwa na mafundisho yake yakachomwa moto. Hadithi juu ya hadithi.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Hapo sasa ndipo inaposemekana kwamba Ke wa kwanza kwenye Mwanzo 1:27 alikuwa ni Lilith. Ke aliyeshindwa kutawalika na Adam. Lilith aliruka na kwe nda zake na baadae inasemekana alifuatwa na malaika watatu wakimsii arudi lakini alikataa. Later aliolewa na Sumael. Tumuombe Arsis atujuze tupate...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kisanga cha wana ndoa na uzazi

    Duuuh! Hatai sana.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Huenda Mkoa wa Morogoro ukagawanywa na kuwa mikoa miwili; Morogoro na Kilombero

    Viwanda na hata Mashamba yamegawanyika. K1 iko wilaya ya Kilombero na K2 iko wilaya ya Kilosa. Unaposema Kidatu ni upande wa Kilombero wakati Ruaha / Nyamvisi, Kifinga /Kidodi /Ruhembe mpaka Mikumi ni upande wa Kilosa / Morogoro kwa tetesi hii. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    JamiiForums Tanzania Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

    People might not know the difference. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kiranga sio atheist ni non-believer

    Hebu dadavua hilo mkuu kama hutojali. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kuhusu jini mahaba

    Mkuu Mshana Jr kwa heshima na taadhima njoo huku. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    JamiiForums Tanzania Sehemu ya Jengo la Studio za Clouds Media Group yaungua moto

    Ili iweje?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wajuvi wa mambo mtusaidie: Nini mapungufu ya Mikataba ya Madini?

    Mikataba ni siri. We we uliisoma wapi?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Viongozi mnaotokea mkoa wa Morogoro mnatuangusha!

    Lumbanga ndio kiboko yao. Huyu ni mwenyeji wa Mngeta/Mchombe. Yeye alikuwa anatumia Helikopta kuja Kijijini akitokea Dar kuangalia wazazi wake wakati alikuwa kwenye nafasi nzuri ya kuhimiza utengenezaji wa barabara kutoka Ifakara-Mlimba kwa kiwango cha Lami. Hapo Kijijini hakuna umeme japo Umeme...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Je hata humu watu waandamane?

    Baada ya kujua yote hayo na muendelezo wa utafiti juu ya historia ya TZ ili iandikwe upya; Sheikh unafikiri hiyo kitu itatusaidia nini watanzania ambao tuko kwenye dimbwi la umaskini?.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Maalim Seif: Tunataka kiti cha Zanzibar UN kirudishwe

    Mkuu Iseesa, Kama Maalimu alikuwa na nia ya ZNZ kuwa na Kiti UN (Kwa maana ya kuvunja Muungano) hakuwa na sababu za kumchongea Mzee Jumbe kwa Nyerere wakati ule. Huo ndio Ukinyonga wake na watu huenda mbele zaidi na kusema ni uroho wa madaraka.
  15. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mmemuona Regia Mtema na Morogoro yake? Hii ya kilombero mpaka ifakara je? Wabunge mmeona?

    Mkuu hebu acha kuharibu lugha za watu. Ujumbe mzito na caps ni kuonesha msisitizo. RIP dada yetu Regia E. Mtema.
Back
Top Bottom