Mzee wa ngano
Senior Member
- May 3, 2012
- 184
- 54
Sure, ili isije ikawa kama ishu ya mipaka ya Tanganyika na Malawi. Mkataba wa wakoloni wa 1890 na ule wa 1982 wa umoja wa mataifa vinatukoroga. Tuwekane wazi kabla hatujasambaana.
ROU, sorry I doubt this was said!.
ROU, sorry I doubt this was said!.
Sura yake inaeleweka vizuri tu ni ya "kinyonga". Ni mtu mnafiki mwenye uwezo wa kufanya chochote ili kupata Uongozi. Aogopwe kama 'Ukoma"
Makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar akihutubia wafuasi wa CUF visiwani Zanzibar kasema anapendekeza na kutaka pia kiti cha Zanzibar Katika umoja wa mataifa UN kirudishwe.
Kwa usemi huu ni dhahiri Zanzibar inataka kuwa dola huru na muungano kwisha habari yake.
Kwani zanzibar ni nchi?
Sioni Maalim kakosea nini mpaka kuitwa kinyonga, ukoma, n.k. kasema yaliyo moyoni mwake na siyo yaliyo moyoni kwako! "Kila mtoto na koja lake" ya nini kumkejeli? TUVUMILIANE
Sura kamili ya Maalim inajidhiri. Safi sana Maalimu Seif kwa kueleza kilicho moyoni.
Kwa mantiki hiyo Maalimu anasema kuwa hoja ya serikali 3 au mkataba haina maana tena.
Afadhali Maalimu amesema wazi tofauti na alivyokuwa anajificha nyuma ya pazia.
Muungano sasa umefikia hatima yake, na tunashukuru kuachana kwa usalama.
LET ZNZ GO!