MREJESHO BAADA YA KUTOA TAARIFA YA UTAPELI WA KAMPUNI YA SOLA YA MYSOL:
Kama nilivyoripoti asubuhi kuhusu kutapeliwa na Kampuni ya Sola ya MySol kwa kunifungia Sola ambayo haijafanya kazi(kuwaka)tangu walivyoifunga tarehe 27 Mei. Baada ya Mkubwa MBUZIMAWE99 kunipa ushauri wa kuing'oa na kuiuza...
MBUZIMAWE99 NAKUSHUKURU SANA,nakuhakikishia nipo njiani na Toyo yangu naenda kuufungua na nakuja nao Babati Mjini kuuuza,nimeambiwa kuna jinsi ya kuuchezea ili GPS yao isiusome mahali ulipo,kwa faida ya wengi naomba Elimu hiyo ili huyu nitakayemuuzia asije kupata matatizo,nimeshapata tayari...
Waungwana, nina kibanda changu hapa Babati kipo nje ya Mji kidogo ambako umeme wa TANESCO/REA bado haujafika.
Nilipoona matangazo ya Kampuni ya Sola ya Mysol yenye Makao Makuu Arusha kwenye Television nikaona nifanye mchakato wa kupata Sola Moja ya Mkopo.
Nikapiga simu na kupewa maelekezo...
Jipe moyo,Sabaya alikuwa JAMBAZI kama MAJAMBAZI mengine tu,Rufaa hii hachomoi na ile Kesi nyingine Hukumu yake mwisho wa mwezi huu,atafungwa tena miaka 30 Jela Kisongo,hachomoi
Pole,kama upo Dodoma naomba nikuunganishe na rafiki yangu hapo ana Microfinance yake(Imarika Microfinance),pengine anaweza kukusaidia kazi au kukupa connection zaidi maana yeye ni Mkongwe hapo,na pia amesoma Course hiyohiyo Chuo nilichosoma mimi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.