Kampuni ya Sola ya Mysol ni Majambazi, Wananchi iogopeni kama UKIMWI

Feb 22, 2021
55
151
Waungwana, nina kibanda changu hapa Babati kipo nje ya Mji kidogo ambako umeme wa TANESCO/REA bado haujafika.

Nilipoona matangazo ya Kampuni ya Sola ya Mysol yenye Makao Makuu Arusha kwenye Television nikaona nifanye mchakato wa kupata Sola Moja ya Mkopo.

Nikapiga simu na kupewa maelekezo yote niliyohitaji, nikalipia malipo ya awali ya Tsh. 285,000 kwa Mtambo wa Watt 200, baada ya siku 4 mafundi wao wakaja kunifungia tena kwa kuwalipia gharama za usafiri.

Cha kushangaza tangu wanifungie leo ni wiki ya nne Sola yao haiwaki, kila nikiwapigia simu wanasema wanakuja kurekebisha hawaji, mara waniambie watu wa Arusha ndio wataiwasha lakini kimya.

Nawashauri Watanzania wenzangu iepukeni na kuiogopa Kampuni hii ya Mysol kama mnavyouogopa Ugonjwa wa UKIMWI.

Nawasubiri waanze kufuatilia malipo yao ya mwezi niwaonyeshe kwa nini watoto huita maji MMA.
 
Pole Ndugu,nawafahamu hao Mysol na niliwahi kufanya nao kazi. Zamani walikuwa wanaitwa MOBISOL,baadaye wakabadili jina na kujiita ENGIE na sasa wanajiita MYSOL. Ni Kampuni ya WEZI tu na hakika ni MAJAMBAZI KWELIKWELI.

Wana Mkurugenzi Mkuu anaitwa Godfrey Mugambi ni Mkenya,ni zoba hatari.

Yaani ni Mkurugenzi Mkuu lakini anapelekeshwa na Mwanamke mmoja Head wa HR anaitwa Veronika Kahama hivyo Mkurugenzi Mkuu yupo kama picha tu.

USHAURI WANGU kwako MTOA MADA ni kwamba NG'OA HUO MTAMBO kauuze kisha nenda Polisi kafungue RB kwamba umeibiwa basi mchezo umeisha.

Kama walikuuzia ukiwa full kwa maana ya Panel,Betri,TV Inch 43 na vile Vitaa vyao basi NAKUSHAURI KAUUZE hutakosa Milioni Moja Na Laki Tano(1,500,000).Na hata ukiuza kifaa kimojakimoja hutakosa Tsh Milioni Moja hivyo bado utakuwa na faida nzuri tu.

NAKUHAKIKISHIA HAWANA UBAVU WA KUKUFANYA KITU CHOCHOTE IWE KUKUSHTAKI POLISI WALA MAHAKAMANI.

Bahati mbaya sipo huko lakini ningekuwepo huko ningekuja Babati kwa gharama zangu uniuzie mimi huo Mtambo na ningekupa Pesa cash.

Kikubwa ung'oe kauuze kisha nenda Polisi chukua RB kwamba umeibiwa na vibaka shughuli imeisha,HAWATAKUJA KUKUFANYA KITU CHOCHOTE NA HAWANA UBAVU HUO.

Na kama kuna Mteja mwingine yoyote humu wa hiyo Kampuni namshauri AUZE MTAMBO,achukue RB Polisi kisha anunue Sola za Bei nzuri mitaani kama SUNDAR nk.

Mtoa Mada njoo PM nikupe Elimu zaidi ya kuwakomesha hao Mbwa hata usiumize kichwa. Na kwa mtu mwingine yeyote anayetafuta Pesa humu usiumize kichwa.

Nenda kwa haohao Mysol,kopa Sola yao kwa kulipa kianzio kutegemea na ukubwa wa Sola(Watt 200 ni Tsh.285,000)(Watt 120 ni Tsh.185,000) na (Watt 80 ni Tsh 150,000)kama sikosei,kisha wakishakufungia leo,wewe kesho ung'oe kauuze huko hukosi Pesa,halafu wakija waambie ULIIBIWA NA VIBAKA na unawaonyesha RB biashara inakuwa imeisha hiyo.
 
Ndugu MBUZIMAWE99 asante kwa taarifa,na mimi nimekuja PM unipe huo ujanja,nina Laki Tatu hapa nataka niikuze, kumbe kuna njia rahisi hivyo maana kuna sehemu tunavua Samaki na Dagaa Ziwani (sitakutaja jina)hizo Sola zinahitajika sana.

Tafadhali nakuja PM unipe Elimu zaidi ili nami nianze KUWAIBIA tena leoleo maana nazifahamu Ofisi zao huku niliko na Nyumba ya wao kwenda kufunga huo mtambo ipo,halafu wakifunga tu nafanya kama ulivyotoa maelekezo. Tumeshaambiwa kila mtu ale kutokana na urefu wa kamba yake.

Nipo PM kwako Mkuu MBUZIMAWE99
 
Kesi ya kupeleka polisi hii

Kulalamika hapa iwe ni kutoa taarifa kwa umma lakini kutochukua hatua ni kukosa akili
Ndugu MSANII,kwa kukusaidia tu ni kwamba Polisi hawajihusishi na Kesi za Madai(Civil Case),wao ni Criminal Case. Kwa hiyo suala la huyu mtoa Mada ni Madai na wala sio Criminal hivyo Polisi suala hili haliwahusu hata kidogo. Nimeshampa njia ya kufanya kupata Haki yake kwa amani kabisa bila kutumia nguvu
 
Waungwana,nina kibanda changu hapa Babati kipo nje ya Mji kidogo ambako umeme wa TANESCO/REA bado haujafika. Nilipoona matangazo ya Kampuni ya Sola ya Mysol yenye Makao Makuu Arusha kwenye Television nikaona nifanye mchakato wa kupata Sola Moja ya Mkopo.

Nikapiga simu na kupewa maelekezo yote niliyohitaji,nikalipia malipo ya awali ya Tsh.285,000 kwa Mtambo wa Watt 200,baada ya siku 4 mafundi wao wakaja kunifungia tena kwa kuwalipia gharama za usafiri.

Cha kushangaza tangu wanifungie leo ni wiki ya nne Sola yao haiwaki,kila nikiwapigia simu wanasema wanakuja kurekebisha hawaji,mara waniambie watu wa Arusha ndio wataiwasha lakini kimya.

Nawashauri Watanzania wenzangu iepukeni na kuiogopa Kampuni hii ya Mysol kama mnavyouogopa Ugonjwa wa UKIMWI.

Nawasubiri waanze kufuatilia malipo yao ya mwezi niwaonyeshe kwa nini watoto huita maji MMA.
Hapa tarime nimekopa 2017, nishamaliza kulipa, nimekopa kwa ajili ya mama mkwe nakaribia kumaliza
sijawahi kupata shida nao
hebu wapigie hii namba 0800755000
 
Pole Ndugu,nawafahamu hao Mysol na niliwahi kufanya nao kazi. Zamani walikuwa wanaitwa MOBISOL,baadaye wakabadili jina na kujiita ENGIE na sasa wanajiita MYSOL. Ni Kampuni ya WEZI tu na hakika ni MAJAMBAZI KWELIKWELI.

Wana Mkurugenzi Mkuu anaitwa Godfrey Mugambi ni Mkenya,ni zoba hatari.

Yaani ni Mkurugenzi Mkuu lakini anapelekeshwa na Mwanamke mmoja Head wa HR anaitwa Veronika Kahama hivyo Mkurugenzi Mkuu yupo kama picha tu.

USHAURI WANGU kwako MTOA MADA ni kwamba NG'OA HUO MTAMBO kauuze kisha nenda Polisi kafungue RB kwamba umeibiwa basi mchezo umeisha.

Kama walikuuzia ukiwa full kwa maana ya Panel,Betri,TV Inch 43 na vile Vitaa vyao basi NAKUSHAURI KAUUZE hutakosa Milioni Moja Na Laki Tano(1,500,000).Na hata ukiuza kifaa kimojakimoja hutakosa Tsh Milioni Moja hivyo bado utakuwa na faida nzuri tu.

NAKUHAKIKISHIA HAWANA UBAVU WA KUKUFANYA KITU CHOCHOTE IWE KUKUSHTAKI POLISI WALA MAHAKAMANI.

Bahati mbaya sipo huko lakini ningekuwepo huko ningekuja Babati kwa gharama zangu uniuzie mimi huo Mtambo na ningekupa Pesa cash.

Kikubwa ung'oe kauuze kisha nenda Polisi chukua RB kwamba umeibiwa na vibaka shughuli imeisha,HAWATAKUJA KUKUFANYA KITU CHOCHOTE NA HAWANA UBAVU HUO.

Na kama kuna Mteja mwingine yoyote humu wa hiyo Kampuni namshauri AUZE MTAMBO,achukue RB Polisi kisha anunue Sola za Bei nzuri mitaani kama SUNDAR nk.

Mtoa Mada njoo PM nikupe Elimu zaidi ya kuwakomesha hao Mbwa hata usiumize kichwa. Na kwa mtu mwingine yeyote anayetafuta Pesa humu usiumize kichwa.

Nenda kwa haohao Mysol,kopa Sola yao kwa kulipa kianzio kutegemea na ukubwa wa Sola(Watt 200 ni Tsh.285,000)(Watt 120 ni Tsh.185,000) na (Watt 80 ni Tsh 150,000)kama sikosei,kisha wakishakufungia leo,wewe kesho ung'oe kauuze huko hukosi Pesa,halafu wakija waambie ULIIBIWA NA VIBAKA na unawaonyesha RB biashara inakuwa imeisha hiyo.
Mkuu hii hasira yote umeitolea wapi??? Mbona una gadhabu nao sana.
 
Pole Ndugu,nawafahamu hao Mysol na niliwahi kufanya nao kazi. Zamani walikuwa wanaitwa MOBISOL,baadaye wakabadili jina na kujiita ENGIE na sasa wanajiita MYSOL. Ni Kampuni ya WEZI tu na hakika ni MAJAMBAZI KWELIKWELI.

Wana Mkurugenzi Mkuu anaitwa Godfrey Mugambi ni Mkenya,ni zoba hatari.

Yaani ni Mkurugenzi Mkuu lakini anapelekeshwa na Mwanamke mmoja Head wa HR anaitwa Veronika Kahama hivyo Mkurugenzi Mkuu yupo kama picha tu.

USHAURI WANGU kwako MTOA MADA ni kwamba NG'OA HUO MTAMBO kauuze kisha nenda Polisi kafungue RB kwamba umeibiwa basi mchezo umeisha.

Kama walikuuzia ukiwa full kwa maana ya Panel,Betri,TV Inch 43 na vile Vitaa vyao basi NAKUSHAURI KAUUZE hutakosa Milioni Moja Na Laki Tano(1,500,000).Na hata ukiuza kifaa kimojakimoja hutakosa Tsh Milioni Moja hivyo bado utakuwa na faida nzuri tu.

NAKUHAKIKISHIA HAWANA UBAVU WA KUKUFANYA KITU CHOCHOTE IWE KUKUSHTAKI POLISI WALA MAHAKAMANI.

Bahati mbaya sipo huko lakini ningekuwepo huko ningekuja Babati kwa gharama zangu uniuzie mimi huo Mtambo na ningekupa Pesa cash.

Kikubwa ung'oe kauuze kisha nenda Polisi chukua RB kwamba umeibiwa na vibaka shughuli imeisha,HAWATAKUJA KUKUFANYA KITU CHOCHOTE NA HAWANA UBAVU HUO.

Na kama kuna Mteja mwingine yoyote humu wa hiyo Kampuni namshauri AUZE MTAMBO,achukue RB Polisi kisha anunue Sola za Bei nzuri mitaani kama SUNDAR nk.

Mtoa Mada njoo PM nikupe Elimu zaidi ya kuwakomesha hao Mbwa hata usiumize kichwa. Na kwa mtu mwingine yeyote anayetafuta Pesa humu usiumize kichwa.

Nenda kwa haohao Mysol,kopa Sola yao kwa kulipa kianzio kutegemea na ukubwa wa Sola(Watt 200 ni Tsh.285,000)(Watt 120 ni Tsh.185,000) na (Watt 80 ni Tsh 150,000)kama sikosei,kisha wakishakufungia leo,wewe kesho ung'oe kauuze huko hukosi Pesa,halafu wakija waambie ULIIBIWA NA VIBAKA na unawaonyesha RB biashara inakuwa imeisha hiyo.
Aisee .... walikufanya nini kwani ndugu? Huu uchungu si wa kawaida! Arusha yapo makampuni mengi ya Solar mfano ZOLA ... awaambie wachukue mtambo wao apewe chake maana wao ndio wamevunja mkataba then ajaribu kampuni nyingine baada ya kufatilia ubora wa huduma.

Kama sio waungwana akachukue RB ili adai chake
 
Pole Ndugu,nawafahamu hao Mysol na niliwahi kufanya nao kazi. Zamani walikuwa wanaitwa MOBISOL,baadaye wakabadili jina na kujiita ENGIE na sasa wanajiita MYSOL. Ni Kampuni ya WEZI tu na hakika ni MAJAMBAZI KWELIKWELI.

Wana Mkurugenzi Mkuu anaitwa Godfrey Mugambi ni Mkenya,ni zoba hatari.

Yaani ni Mkurugenzi Mkuu lakini anapelekeshwa na Mwanamke mmoja Head wa HR anaitwa Veronika Kahama hivyo Mkurugenzi Mkuu yupo kama picha tu.

USHAURI WANGU kwako MTOA MADA ni kwamba NG'OA HUO MTAMBO kauuze kisha nenda Polisi kafungue RB kwamba umeibiwa basi mchezo umeisha.

Kama walikuuzia ukiwa full kwa maana ya Panel,Betri,TV Inch 43 na vile Vitaa vyao basi NAKUSHAURI KAUUZE hutakosa Milioni Moja Na Laki Tano(1,500,000).Na hata ukiuza kifaa kimojakimoja hutakosa Tsh Milioni Moja hivyo bado utakuwa na faida nzuri tu.

NAKUHAKIKISHIA HAWANA UBAVU WA KUKUFANYA KITU CHOCHOTE IWE KUKUSHTAKI POLISI WALA MAHAKAMANI.

Bahati mbaya sipo huko lakini ningekuwepo huko ningekuja Babati kwa gharama zangu uniuzie mimi huo Mtambo na ningekupa Pesa cash.

Kikubwa ung'oe kauuze kisha nenda Polisi chukua RB kwamba umeibiwa na vibaka shughuli imeisha,HAWATAKUJA KUKUFANYA KITU CHOCHOTE NA HAWANA UBAVU HUO.

Na kama kuna Mteja mwingine yoyote humu wa hiyo Kampuni namshauri AUZE MTAMBO,achukue RB Polisi kisha anunue Sola za Bei nzuri mitaani kama SUNDAR nk.

Mtoa Mada njoo PM nikupe Elimu zaidi ya kuwakomesha hao Mbwa hata usiumize kichwa. Na kwa mtu mwingine yeyote anayetafuta Pesa humu usiumize kichwa.

Nenda kwa haohao Mysol,kopa Sola yao kwa kulipa kianzio kutegemea na ukubwa wa Sola(Watt 200 ni Tsh.285,000)(Watt 120 ni Tsh.185,000) na (Watt 80 ni Tsh 150,000)kama sikosei,kisha wakishakufungia leo,wewe kesho ung'oe kauuze huko hukosi Pesa,halafu wakija waambie ULIIBIWA NA VIBAKA na unawaonyesha RB biashara inakuwa imeisha hiyo.
Imekaa vizuri hii wacha nitafte huo mtambo wao kwa box 2 😂😂😂
 
Aisee .... walikufanya nini kwani ndugu? Huu uchungu si wa kawaida! Arusha yapo makampuni mengi ya Solar mfano ZOLA ... awaambie wachukue mtambo wao apewe chake maana wao ndio wamevunja mkataba then ajaribu kampuni nyingine baada ya kufatilia ubora wa huduma.

Kama sio waungwana akachukue RB ili adai chake
Ni wahuni tu na MATAPELI ndio maana wanabadilisha majina kila Mwaka,mara MOBISOL,mara ENGIE mara MYSOL,hivyo dawa ya Mhuni ni kuwa Mhuni zaidi yao
 
Back
Top Bottom