Njoo dar tupambane ninachokipata utajikimu huku ukiendelea kutafuta kaziHabari,
Umri wangu ni miaka 28. Nimekuja kwenu kuomba ajira au mtu yoyote anayeweza kunisaidia kupata ajira.
• Jinsia: Ke
• Elimu: Bachelor Degree ya Commerce in finance (BCOM finance) pia nina Diploma in Finance and Banking.
• Ninapoishi: Dodoma
• Uzoefu wa kazi : Sijawahi kuajiriwa ila nimewahi kufanya field na kujitolea kwenye taasisi za kukopesha fedha.
Nilikuwa nimejiajiri mwenyewe(mjasiriamali), ila kuna matatizo nimeyapitia ya kifamilia yaliyopelekea kunidhoofisha kifedha hadi kuingia kwenye mtaji wa biashara.
Naomba yeyote anayeweza kunipa ajira kwenye office yake au hata anayeweza kunisaidia kupata ajira anisaidie. Nina hitaji sana ajira ili niweze kujikimu na kuendesha maisha yangu na wategemezi wangu.
Sifa za ziada
-Ninajua kutumia computer.
-Ninafahamu kutumia Microsoft word, excel na PowerPoint.
-Ninajua kutumia accouting software mbili (quickbooks na excel).
-Uwezo wangu katika lugha ya kingereza ni mzuri, ninaongea (90%), kusikia na kuelewa (100%), kusoma na kuandika kwa ufasaha (100%).
-Pia mimi ni mchapakazi na ni mwaminifu, mkinipa ajira hamtojutia uamuzi wenu.
Yeyote anayeweza kunisaidia ajira au hata ushauri naomba aniambie nitamfuata inbox.
Asanteni.
Am real wishing you the best my little sisHabari,
Umri wangu ni miaka 28. Nimekuja kwenu kuomba ajira au mtu yoyote anayeweza kunisaidia kupata ajira.
• Jinsia: Ke
• Elimu: Bachelor Degree ya Commerce in finance (BCOM finance) pia nina Diploma in Finance and Banking.
• Ninapoishi: Dodoma
• Uzoefu wa kazi : Sijawahi kuajiriwa ila nimewahi kufanya field na kujitolea kwenye taasisi za kukopesha fedha.
Nilikuwa nimejiajiri mwenyewe(mjasiriamali), ila kuna matatizo nimeyapitia ya kifamilia yaliyopelekea kunidhoofisha kifedha hadi kuingia kwenye mtaji wa biashara.
Naomba yeyote anayeweza kunipa ajira kwenye office yake au hata anayeweza kunisaidia kupata ajira anisaidie. Nina hitaji sana ajira ili niweze kujikimu na kuendesha maisha yangu na wategemezi wangu.
Sifa za ziada
-Ninajua kutumia computer.
-Ninafahamu kutumia Microsoft word, excel na PowerPoint.
-Ninajua kutumia accouting software mbili (quickbooks na excel).
-Uwezo wangu katika lugha ya kingereza ni mzuri, ninaongea (90%), kusikia na kuelewa (100%), kusoma na kuandika kwa ufasaha (100%).
-Pia mimi ni mchapakazi na ni mwaminifu, mkinipa ajira hamtojutia uamuzi wenu.
Yeyote anayeweza kunisaidia ajira au hata ushauri naomba aniambie nitamfuata inbox.
Asanteni.
Thanks a lotThank you sis.
Nitashukuru sana, sana. Ndio nipo dodoma mjini.Pole,kama upo Dodoma naomba nikuunganishe na rafiki yangu hapo ana Microfinance yake(Imarika Microfinance),pengine anaweza kukusaidia kazi au kukupa connection zaidi maana yeye ni Mkongwe hapo,na pia amesoma Course hiyohiyo Chuo nilichosoma mimi
Asante![]()
HR Tanzania
Kikundi hiki cha HR ni jukwaa la kushiriki Kazi za Sasa, Habari za Ajira kwa watu wa Tanzania. Kanuni:- 1) Hakuna Barua taka & matusi na Ujumbe wa matusi kwa kila mmoja.🚫 2) Hakuna Messages za watu wazima🔞❌ 3) Hakuna tangazo la Cryptot.me
jiunge hapo
Hupo serious. Unaomba kazi hujaweka picha yako wala namba za simuHabari,
Umri wangu ni miaka 28. Nimekuja kwenu kuomba ajira au mtu yoyote anayeweza kunisaidia kupata ajira.
• Jinsia: Ke
• Elimu: Bachelor Degree ya Commerce in finance (BCOM finance) pia nina Diploma in Finance and Banking.
• Ninapoishi: Dodoma
• Uzoefu wa kazi : Sijawahi kuajiriwa ila nimewahi kufanya field na kujitolea kwenye taasisi za kukopesha fedha.
Nilikuwa nimejiajiri mwenyewe(mjasiriamali), ila kuna matatizo nimeyapitia ya kifamilia yaliyopelekea kunidhoofisha kifedha hadi kuingia kwenye mtaji wa biashara.
Naomba yeyote anayeweza kunipa ajira kwenye office yake au hata anayeweza kunisaidia kupata ajira anisaidie. Nina hitaji sana ajira ili niweze kujikimu na kuendesha maisha yangu na wategemezi wangu.
Sifa za ziada
-Ninajua kutumia computer.
-Ninafahamu kutumia Microsoft word, excel na PowerPoint.
-Ninajua kutumia accouting software mbili (quickbooks na excel).
-Uwezo wangu katika lugha ya kingereza ni mzuri, ninaongea (90%), kusikia na kuelewa (100%), kusoma na kuandika kwa ufasaha (100%).
-Pia mimi ni mchapakazi na ni mwaminifu, mkinipa ajira hamtojutia uamuzi wenu.
Yeyote anayeweza kunisaidia ajira au hata ushauri naomba aniambie nitamfuata inbox.
Asanteni.
Ipo siku mtot wako wa kike atamaliza chuo atazunguka na bahasha ya kaki akizunguka kutafuta ajira..atashindwa kupata ajira ataingia kwenye mitandao ya kijamii ili walau apate msaada atakutana na mtu mwenye mawazo mabovu kama ya kwako sijui itakuwaje?😓Hupo serious. Unaomba kazi hujaweka picha yako wala namba za simu
HelloHabari,
Umri wangu ni miaka 28. Nimekuja kwenu kuomba ajira au mtu yoyote anayeweza kunisaidia kupata ajira.
• Jinsia: Ke
• Elimu: Bachelor Degree ya Commerce in finance (BCOM finance) pia nina Diploma in Finance and Banking.
• Ninapoishi: Dodoma
• Uzoefu wa kazi : Sijawahi kuajiriwa ila nimewahi kufanya field na kujitolea kwenye taasisi za kukopesha fedha.
Nilikuwa nimejiajiri mwenyewe(mjasiriamali), ila kuna matatizo nimeyapitia ya kifamilia yaliyopelekea kunidhoofisha kifedha hadi kuingia kwenye mtaji wa biashara.
Naomba yeyote anayeweza kunipa ajira kwenye office yake au hata anayeweza kunisaidia kupata ajira anisaidie. Nina hitaji sana ajira ili niweze kujikimu na kuendesha maisha yangu na wategemezi wangu.
Sifa za ziada
-Ninajua kutumia computer.
-Ninafahamu kutumia Microsoft word, excel na PowerPoint.
-Ninajua kutumia accouting software mbili (quickbooks na excel).
-Uwezo wangu katika lugha ya kingereza ni mzuri, ninaongea (90%), kusikia na kuelewa (100%), kusoma na kuandika kwa ufasaha (100%).
-Pia mimi ni mchapakazi na ni mwaminifu, mkinipa ajira hamtojutia uamuzi wenu.
Yeyote anayeweza kunisaidia ajira au hata ushauri naomba aniambie nitamfuata inbox.
Asanteni.
Asante sana. Ninafanya hivyo.Hello
Jaribu kuwasiliana nasi kupitia info@fbctz.co.tz au jshimo.js@gmail.com
Au tupigie 07467905773
KaribuAsante sana. Ninafanya hivyo.
Hapana tangazo lake linajitosheleza,hivyo vingine havitakiwi hapo.......mengine watajuana na atakayekuwa na fursa ya kumsaidiaHupo serious. Unaomba kazi hujaweka picha yako wala namba za simu