Umemjibu vizuri kijana...nakumbuka mimi mwenyewe nilifika mkoani nikakuta jina langu limewekwa upande wa vipaji maalum wakati mwenyewe sina kipaji nikamuuliza mshauri wa mgambo wetu akaniambia ukiulizwa sema nacheza mpira nikasema sawa japo hatukukubaliana awali aliniambia hivyo baada ya kusikia...
E-coy ya demmo chini ya Sir Major mgogo mfupi jina lake nimesahau alikuwa anapenda sana Serengeti,bila kumsahau Afande Ambali mzee wa tungi,afande Hassan Ibaru mzee wa kujila na pia Afande Malogo mtu mpole lakin mahiri kila idara.....Oc wa kombania alikuwa Afande Robert Mpemba...alikuwa poa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.