Eti ukimaliza form six kipi bora kuenda jeshi au chuo kikuu? Wapi kuna posho

Kuanzia February 2016 Serikali haijatoa ajira kwenye kada ya Ulinzi na Usalama.

Zaidi ya wana JKT 16000 bado hawajaajiriwa.
 
Nakushauri uende chuo ( kama ni mdogo wako mwambie aende chuo)

Nilifanya ujinga kama huu. Nikimaliza six nikagoma kwenda chuo nikidhani njia ya kwenda jeshi ni nyeupe!

Nilifanya interview wilayani nikapitishwa kwenda mkoani nilivofika nilashangaa sana kukuta jina langu limewekwa "reserve " ( reserve ni ziada, in case wengine wakipimwa wakakutwa na mapungufu ya kiafya basi watatolewa na nyie reserves mtajaza pengo).

Nillikosa nafasi ya Jkt nikajiku najilaumu kwanini sikuomba chuo wakati nilipata wafadhili.. Anyway.. mwaka uliofuata niliomba chuo na mkopo 100%juu but paka sasa najilaumu coz niliomaliZa nao six sasaiv wako mbele yangu kizembe tu.

Hata hivyo inaonyesha kuna jambo hulijui kuhusu jeshi:
Sio kwamba unaenda directly jwtz, ni kwamba ukibahatika kupata nafac ya JKT utakula kozi ya miezi 6 lakini mkataba wa kukaa JKT utasain wa miaka miwili, hivyo ulimaliza JKT utaendelea kufanya kazi mbalimbali( sio za kulipwa) humo kambini hadi miaka miwili iishe Ndio uruhuaiwe kufatilia nafasi za JWTZ au vyombo vingine vya ulinzi..l
Pia wakuu wanatabia ya kuwanyima wahitimu vyeti na kuwalazimisha kusain mkataba mpya wa kuendelea kukaa JKT na kuwapigisha kazi mbalimbali kama vile kung'oa visiki, kulima na ujenzi, jambo ambalo wengi wao huishia kutorokea uraiani bila kupewa vyeti na Kama unavyojua cheti ndio msingi wa ajira. Nina ndugu yangu yuko huko, huu ni mwaka Wa tano sasa wanaahidiwa tu kwamba waendelee na kazi watatafutiwa ajira jamba ambalo sio kweli.

Aidha wengi wa waliohitimu JKT hukosa nafac ya JWTZ kwa sababu za rushwa na kujuana. Hivyo huishia kujiunga na uaskari polisi au magereza ilimradi mkono uende kinywani

Sikukatishi tamaa ila kama hukulijua hili, jitafakari upya na uchukue uamuzi wa busara.

Samahani kwa uandishi wangu m'bovu
 
Yani wewe unaona Jeshi limeshindwa kuwaajiri watu mpaka Rais awaagize na pengine wasiajiriwee unataka uendee huko...!!Posho unayoifikiria ni 50k kwa mwezii ambayo ni sawa na upuuzi tuu haikusaidiii chochoteee.. utaishia kula biskut na soda na vichips vya kambini
 
Yani wewe unaona Jeshi limeshindwa kuwaajiri watu mpaka Rais awaagize na pengine wasiajiriwee unataka uendee huko...!!Posho unayoifikiria ni 50k kwa mwezii ambayo ni sawa na upuuzi tuu haikusaidiii chochoteee.. utaishia kula biskut na soda na vichips vya kambini
Na kutokana na kazi za kuchafuka wanazozifanya, Elfu 50 kwa mwezi ni hela ya sabuni tu
 
Na kutokana na kazi za kuchafuka wanazozifanya, Elfu 50 kwa mwezi ni hela ya sabuni tu
Yani kama Unaenda Jeshi na huna connection au hujui what will happen next bora ulale tu nyumbaniii
 
Yani wewe unaona Jeshi limeshindwa kuwaajiri watu mpaka Rais awaagize na pengine wasiajiriwee unataka uendee huko...!!Posho unayoifikiria ni 50k kwa mwezii ambayo ni sawa na upuuzi tuu haikusaidiii chochoteee.. utaishia kula biskut na soda na vichips vya kambini
Dogo katudhalilisha sana tuliopata fursa ya kufanya Necta Form 6
 
Yani kama Unaenda Jeshi na huna connection au hujui what will happen next bora ulale tu nyumbaniii
Kuliko aende JKT bila connection, ni bora aje huku Arusha, uncle anamuhitaji shambanoy wa kukatia ng'ombe na nguruwe. Mshahara ni elfu 50.kula, kulala na kutibiwa ni BURE, karibu
 
Kuliko aende JKT bila connection, ni bora aje huku Arusha, uncle anamuhitaji shambanoy wa kukatia ng'ombe na nguruwe. Mshahara ni elfu 50.kula, kulala na kutibiwa ni BURE, karibu
Kwenda JKT ni kupoteza mudaa
 
ukimaliza F6 unaenda jkt miezi 3, hapo unaweza pata nafasi ya kujiunga na jeshi directly ,ukipata hyo shikilia kabisa usikimbilie chuo maana unaweza kusoma baadae usipate ajira.
 
Kama shida yako ni urahisi wa ajira ni bora ukaanza ujasiriamali mapema mana hata uko chuoni bado kunaweza kukakupotezea mda pia mana unaweza maliza chuo na usiwe na tofauti na mtu ambaye ajasoma kabisa kwa hali jinsi ilivyo sasa.Kama unataka kusoma kweli nenda chuo ila kama una uhakika na unako kwenda tafuta mashamba anza kulima mbogamboga baada ya miaka mtatu utaweza kijiajiri zaidi ya hapo.
 
Eti ukimaliza form six kipi bora kuenda jeshi au kuenda chuo kikuu?
Nenda Chuo kwanza,ukimaliza utaomba kwenda huko jeshini maana huwa kuna nafasi za Professional eg.Dr,Eng,Wahasibu,Wakaguzi,Walimu n.k.Kasome kwanza upate gamba huko jeshini utaenda ukiwa na Fani uliyoisomea,Vinginevyo utaenda kuteseka bure na form six leaver yako
 
Nakushauri uende chuo ( kama ni mdogo wako mwambie aende chuo)

Nilifanya ujinga kama huu. Nikimaliza six nikagoma kwenda chuo nikidhani njia ya kwenda jeshi ni nyeupe!

Nilifanya interview wilayani nikapitishwa kwenda mkoani nilivofika nilashangaa sana kukuta jina langu limewekwa "reserve " ( reserve ni ziada, in case wengine wakipimwa wakakutwa na mapungufu ya kiafya basi watatolewa na nyie reserves mtajaza pengo).

Nillikosa nafasi ya Jkt nikajiku najilaumu kwanini sikuomba chuo wakati nilipata wafadhili.. Anyway.. mwaka uliofuata niliomba chuo na mkopo 100%juu but paka sasa najilaumu coz niliomaliZa nao six sasaiv wako mbele yangu kizembe tu.

Hata hivyo inaonyesha kuna jambo hulijui kuhusu jeshi:
Sio kwamba unaenda directly jwtz, ni kwamba ukibahatika kupata nafac ya JKT utakula kozi ya miezi 6 lakini mkataba wa kukaa JKT utasain wa miaka miwili, hivyo ulimaliza JKT utaendelea kufanya kazi mbalimbali( sio za kulipwa) humo kambini hadi miaka miwili iishe Ndio uruhuaiwe kufatilia nafasi za JWTZ au vyombo vingine vya ulinzi..l
Pia wakuu wanatabia ya kuwanyima wahitimu vyeti na kuwalazimisha kusain mkataba mpya wa kuendelea kukaa JKT na kuwapigisha kazi mbalimbali kama vile kung'oa visiki, kulima na ujenzi, jambo ambalo wengi wao huishia kutorokea uraiani bila kupewa vyeti na Kama unavyojua cheti ndio msingi wa ajira. Nina ndugu yangu yuko huko, huu ni mwaka Wa tano sasa wanaahidiwa tu kwamba waendelee na kazi watatafutiwa ajira jamba ambalo sio kweli.

Aidha wengi wa waliohitimu JKT hukosa nafac ya JWTZ kwa sababu za rushwa na kujuana. Hivyo huishia kujiunga na uaskari polisi au magereza ilimradi mkono uende kinywani

Sikukatishi tamaa ila kama hukulijua hili, jitafakari upya na uchukue uamuzi wa busara.

Samahani kwa uandishi wangu m'bovu
Umemjibu vizuri kijana...nakumbuka mimi mwenyewe nilifika mkoani nikakuta jina langu limewekwa upande wa vipaji maalum wakati mwenyewe sina kipaji nikamuuliza mshauri wa mgambo wetu akaniambia ukiulizwa sema nacheza mpira nikasema sawa japo hatukukubaliana awali aliniambia hivyo baada ya kusikia jina langu liko upande huo tukarudi majumbani kwetu tukatangaziwa siku ya vipimo kutoka jkt makao makuu(usaili ngazi ya Taifa) siku hiyo nilichoka sana jina langu halikuonekena mahali popote nilihangaika na mshauri wa mgambo wa wilaya yetu tulienda hadi kwa mshauri wa mgambo mkoani maana tulikuwa ngazi ya mkoa lakini niliambiwa jina langu halipo nilichoka sana wenzangu wote walifanikiwa kwenda huko jkt OP merarani niliumia sana ndo hivyo huko jeshini Rushwa ipo sana huyo kijana ajipange awezavyo
 
Kuliko aende JKT bila connection, ni bora aje huku Arusha, uncle anamuhitaji shambanoy wa kukatia ng'ombe na nguruwe. Mshahara ni elfu 50.kula, kulala na kutibiwa ni BURE, karibu

Hata Kambini (JKT) hivo vyote vinapatikana bure. Kula (tena msosi wa maana), kulala, matibabu, umeme. Kila kitu bure.
Akiwa mvumilivu atatoka kimaisha ndan ya muda mfupi.
 
Back
Top Bottom