Hilo ndio tatizo kubwa kwetu sisi wadanganyika tunao vizuri vya wenzetu kuliko vya kwetu dogo kacheza vizuri mpeni shavu sio kumponda kwasababu kacheza na akina drogba lakini nilize kitu munamfaham droba kwa nyodo au ndio hivyo tena?wabongo bado tuko nyuma kweeeeeli bado tunawafagilia wageni...
Jamani si munasema mh Rais wetu hana maamuzi mazito?si munamuona
au mulitaka..... lakini kweli mmkjj hata matanga bado hayajaisha chozi la kinfiki alilolimwaga halija kauka
Hii hoyuba ni ya rais wa tanganyika au tanzania? kwani mh sijamsikia kugusia tatizo la umeme kule visiwani au mchango wowote aliotoa kwa lile koloni letu kule
Kama kuna mtu hajatulia ni huyo mkuu mwenyewe ambaye anaetuletea huo uoza mashemeji na marafiki na wacheza bao pamoja
tatizo la kulipa fazila ndio hilo na kupenda ujiko kwa raisi wetu
Lakini jamani si munajua tena matatizo ya uzuri?waangalieni ma model wetu wanavyo ishia nasisi hatukuchagua kiongozi tulichagua model hayo ndio matokeo yetu
Lakini kijana ndio mtaji analipa kwa mujibu wa mzee jangala [makamba] sasa tunatakanini tena?
Kiongozi Imara hawezi kusema vitisho vya kijinga namna hiyo kikwete hana uwezo wa kuongoza nchi na tunaona mimi ninamuunga mkono lipumba kuwa anataka aonekane mwema kila upande na hali hiyondio inato mfanya atuchekee tu sisi hatuki kuuziwa uzuri muheshimiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.