Mambo ya Politiki za bongo ni uvundo mtupu...Kwani huyo JK hataki watu wamwambie kuwa anatokota wakati mchezo ndio unaanza?? Si mlikuwa mnataka Raisi mwenye sura nzuri ndio huyo sasa....
Lakini jamani si munajua tena matatizo ya uzuri?waangalieni ma model wetu wanavyo ishia nasisi hatukuchagua kiongozi tulichagua model hayo ndio matokeo yetu
Lakini kijana ndio mtaji analipa kwa mujibu wa mzee jangala [makamba] sasa tunatakanini tena?