Kwao ni lindi. nyangema we,
ha ha ha ha mbavu zangu
Kwao ni lindi. nyangema we,
Nadhani huyu mama kwao ni Singida kama sikosei!
Salma Kikwete ni first lady, ana haki ya kikatiba ya kupewa ulinzi kwa nafasi yake. Hata waliotangulia walikuwa wakipewa ulinzi. Ila hilo la kupewa taarifa za maendeleo ya mkoa/wilaya si sahihi, kwani yeye hana MAMLAKA ya kutoa maamuzi. Taarifa za maendeleo hazitolewi kama hadithi, lakini kwa kumsomea huyo mama ni sawa na kusoma hadithi. Anachokifanya sasa hivi ni kampeni ya kumsaidia mumewe.
Mie nataka kujua pia hapa jana nimeona Mkuu wa Mkoa wa Mara akisoma Risala mbele ya mama Salma nikajiuliza maswali mengi kichwani bila majibu
Kwani anakazi gani katika nchi mpaka asomewe hiyo Risala ?
kama si mpenda sifa kwanini akiwa kwenye ziara anatoa maagizo kama mtu mwenye mamlaka..
mama Kikwete ni kama mama mwingine yoyote mwimba taarabu.
First lady jamani mie naona nikuulize wewe kwa nini wajina wako anafanya hivyo jamani? Talk to her please first lady she will hear you...Mie nataka kujua pia hapa jana nimeona Mkuu wa Mkoa wa Mara akisoma Risala mbele ya mama Salma nikajiuliza maswali mengi kichwani bila majibu
Kwani anakazi gani katika nchi mpaka asomewe hiyo Risala ?
Huenda aliapa hiviMimi huwa namwita mama kihelehele.
Yeye ni first lady sawa. Lakini hawajawahi kuapa kikatiba kama kiongozi sasa kupewa taarifa au kufanya kazi za kiserikali si ndio hayo hayo? anavunja katiba na sheria zetu. Ni sawa na wale matapeli niliowahi kusikia wakijiita madaktari na kuingia theatre kufanya operation! unategemea nini kitatokea? Any way tuko katika nchi ya majaribio ya kinyozi. Kila anayejfunza kunyoa anajaribu kwetu. Wadhani tutafanyaje?
Hawa mafirst lady wetu wa awamu kuanzia kwa mzee Mwinyi wamekuwa wakifanya mambo ya ajabu ajabu. Wamekuwa wakigiribu watu kuwaonyesha kuwa waume wao wanafanya mambo mazuri kumbe ni wizi mtupu! Ngoja mwisho wa awamu usikie!
Mmh anafuata nyayo za mama Lucy Kibaki wa Kenya,ole wako umuuzi kibarua kinaota nyasi siku hiyo hiyo na kama tunavyojua hapa TZ hatuna viongozi jasiri wanaoweza kuhoji wote ni wapiga filimbi wa Hamelini
Anapaswa kudhibitiwa anakiherehere sana kuna wakati huwa anataka awe mbele ya Raisi haswa wanapotoka nje ya nchi utakuta anataka kuongoza msafara mbele kabla ya Raisi nadhani watu wa protokali watakuwa wamemshindwa haelewi kitu yule,mapepe mukichwa,tunajua ananafasi yake kama FL lakini hili la kutenda kazi za watendaji wa serikali mimi hapo nitapinga mpaka mwisho hastahili na najua atakuwa ameonywa ila asikii huyo
Haya wasoma risala ndo akili zao hazina pingili vichwani mwao!!
Afu jamaani mkoa wa mara sio mkoa - nadhani ule mkoa ni nchi nyingine kabisaaaaa!
Maana hata - sheria hawazijui,utaratibu hwajui so hata viongozi waliopo huko wanapelekwa wale wasojua itfaki na utaratibu ss tangu lini mkuu wa mkoa anasoma risala!!??
Huyo mama alitakiwa kuwapa pole wanawake wanaopigwa na waume zao - basi! na hiyo ndo kazi kubwa - kukemea tabia hizo huko tarime sio vinginevyo
Wanabore hawa!!!!
kweli,ni shida ya kuwa mwalimu bila elimu
ana kichwa hakijatulia kabisaaa,si unajua maskini akipata?au limbukeni akipata?
yaani ni wa kuombea tu uyu mtu maana ukiwaza sana hata hujui umuweke kundi gani anatia aibu SANA
Wewe unawaita watu wa Mara kuwa hawana akili!!!!!! Sasa subiri wajue unakoishi, nakwambia mtachinjwa familia yenu nzima siku si nyingi. Mara hii umeshasahau yaliyotokea Musoma na Tarime !!! Ohoooo, shauri yako mimi simo kabisa kuwa shahidi yako. Si ni sambi sako mwenyewe !!!!