Recent content by mkuu wa kijiji

  1. mkuu wa kijiji

    Nauliza kuhusu Lyamungo Sec

    Sina taarifa sana lakini ni shule ya Zamani sana Baba yangu alisoma hapo na Babu yangu pia kabla ya Tanzania kupata Uhuru
  2. mkuu wa kijiji

    Wabara ondoeni shaka, ardhi ya SMZ Bagamoyo si sehemu ya Zanzibar. SMZ haina hati; limetelekezwa miaka 45 ila Zanzibar inamiliki kihalali

    Kama ulivyoelezea, Zanzibar ina haki ya kumiliki ardhi hapa bara kama taasisi nyingine yoyote. Zanzibar ni sehemu ya TANZANIA wanetu!!!
  3. mkuu wa kijiji

    Serikali ya Zanzibar kuchukua na kumiliki eneo Bagamoyo ambalo liko Tanganyika ni kinyume na katiba ya Zanzibar

    Si vibaya Tanzania visiwani kuwa na Eneo Tanzania bara. Mbona Dar es salam ina maenei Iringa, Mbeya na Dodoma.Mbona raisi katokea Visiwani?Punguzeni kujitoa ufahamu
  4. mkuu wa kijiji

    Mitume na manabii ni wagonjwa wa akili waliochangamka?

    Topic changamfu Kwa ajili ya afya ya akili
  5. mkuu wa kijiji

    Duka la Fred Vunjabei lavunjwa ngazi Zanzibar

    Sheria haikufuatwa iko barabarani
  6. mkuu wa kijiji

    Fahamu namna Maduka yanayotumia uchawi, yanavyoweza kumpumbaza mteja

    Sijaona jibu zuri. Duka lenye watu wa market wazuri ni zaidi ya Wachawi. Mchawi akasome
  7. mkuu wa kijiji

    Mgogoro wa mpaka India na China; India yalalamika China kubadilisha majina ya maeneo mpakani

    America ina hofu sana ya kupitwa Kwa sasa , China inakuwa vizuri na mwendo ni wa uhakika. India inakuwa vizuri kiuchumi pia. Zote hizi tegemeo kiuchumi Kwa mambo mengi USA. Na USA Kwa sasa itasambaratisha chumi hizi zote Kwa njia wanazoona inafaa Kwao, Wanaanza na Lugha ya Taiwani lakini tatizo...
  8. mkuu wa kijiji

    Gachagua anatoa kauli kama za Hayati Magufuli. Ndiye ataleta machafuko Kenya

    Ni zambi kubwa kutomkamata Raila , hata kama fujo itatokea lakini Raila aonje mkono wa sheria, apelekwe Arusha kama Nairobi imeshindikana.
  9. mkuu wa kijiji

    Nani aliwadanganya watu jela kuna mambo ya kubakana?

    Nimekakaa jela, ila kugongwa Rungu ni mtu mwenyewe na tabia hiyo alianzia Mtaani akaenda nayo Gerezani na Kugonga Rungu pia hivyo hivyo
  10. mkuu wa kijiji

    Umeme wa solar

    Pata fundi Mzuri akushauri . Karibu Nyegezi Solar
  11. mkuu wa kijiji

    Mama Mkwe anataka majina yangu matatu

    Kizazi cha kipuuzi sana hiki
Back
Top Bottom