Si vibaya Tanzania visiwani kuwa na Eneo Tanzania bara. Mbona Dar es salam ina maenei Iringa, Mbeya na Dodoma.Mbona raisi katokea Visiwani?Punguzeni kujitoa ufahamu
America ina hofu sana ya kupitwa Kwa sasa , China inakuwa vizuri na mwendo ni wa uhakika. India inakuwa vizuri kiuchumi pia. Zote hizi tegemeo kiuchumi Kwa mambo mengi USA. Na USA Kwa sasa itasambaratisha chumi hizi zote Kwa njia wanazoona inafaa Kwao, Wanaanza na Lugha ya Taiwani lakini tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.