Recent content by mkulukunde

  1. mkulukunde

    Nachukia wanaomkosoa Rais Magufuli

    Hvi kwa akili yako tu, rais hajaenda kuhani kule kagera ambako watu wengi wamekufa,hapo hapo kumetokea msiba wa kwao haraka haraka kaenda. Hiv na hili hasikoselewe!
  2. mkulukunde

    Kada wa CCM na rafiki wa Mwigulu yuko juu ya sheria?

    Hata ueleweki unachoandika [emoji57] [emoji57]
  3. mkulukunde

    March 30, 1867: Kosa kubwa la Kihistoria walilofanya URUSI na kuwapa nafasi US kuwa Kiranja wa Dunia

    Kuna muhimili Mmoja miziz yake imejichimbia chini zaidi. Karibu chato airport
  4. mkulukunde

    Polisi waua watu wawili wasio na hatia, watoa maelezo

    Eee Mungu tunasubiri kwa haraka sana kufanya maamuzi tunayoyasubir watanzania, hata ukianza kwa huyo namba 1 ni sawa tu, Amen
  5. mkulukunde

    Mawakili wa serikali kazeni uzi angalau Lema atoke mwezi wa pili

    Hivi kwa akili yako kuna mawakili wanao wazdi mawakili wa UKAWA, pale kuna Sauti inatoka juu ndo maana Lema anabaki mpaka leo.
  6. mkulukunde

    CCM waanza mkakati wa kukamata wanaochoma kadi za vyama vya siasa

    Imooooooooooh, imeingia hiyo tena bila kupata mate
  7. mkulukunde

    Tuige mfano Kenya kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi

    . Mtu mwenyew hashauliki, anaogopwa.
  8. mkulukunde

    KUANZA KWA USAFIRISHAJI WA MIZIGO KUTOKA BANDARI YA DAR ES SALAAM KWA KUTUMIA RELI YA KATI

    Wanakupita kama hawakuoni vile [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
  9. mkulukunde

    Belle 9 ajibu mapigo ya Darasa na Diamond kwa kishindo

    Kuna mademu wakali tu basi, ila muziki WA kawaida sana
  10. mkulukunde

    Dah hii picha imeniumiza sana nimeshindwa kujizuia, nimeumia sana

    Mwaka ambazo nitafurahi nafsini kwangu yatokee haya ninayoyaomba
  11. mkulukunde

    Professor Shivji avunja Ukimya juu ya Maxence Melo

    Mungu unachelewesha kufanya maajabu tunayoyasubiria watanzania wengi, fanya haraka, niamini wengi tutafurahi. Amen
  12. mkulukunde

    Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

    Jana Pombe Mlizidisha? [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Jf raha sana
Back
Top Bottom