Recent content by mkulimamwema

  1. M

    Nani wa kuwajibishwa kati ya mwalimu na wizara ya Elimu?

    Ni kweli wanaharibu elimu wanawatupia lawama wasoihusika, inabidi wawajibishwe, sio sahihi kuachwa bila kuwajibishwa. jamani tunipeleka wapi Tanzania yetu. Ndugu mheshimiwa(kama wanvyowaiota vinongozi) tazama kwa jicho la kesho, acha ubinafsi na ufisadi ili tanzania iweze kuendelea
  2. M

    Sitta na kamati yake hoi Zanzibar

    Nawashangaa hawa wazee,ya nini kupiga ngoma ya masika watu wacheze kiangazi?suluhisho ni serikali mbili ya Tanganyika na Zanzibar muungano tukutane East Africa".
  3. M

    Mgomo mkubwa wa wenye vituo vya mafuta 2011!

    Hiyo ndio ahadi ya maisha bora kwa kila Mtanzania
  4. M

    AM FINISHED!!! You ladies why?????

    Tulia bro tafuta taratibu mke wa kuoa
  5. M

    Nimevunjika Moyo

    pole nimekuombea MUNGU akupe wako
  6. M

    Ziara ya Hillary Clinton kuja: Picha na Matukio

    I dont know what to say,let my eyes witness
  7. M

    Barua: Zitto akataa posho za vikao

    Looo gazeti lenyewe uhuru,nani aliamini gazeti la ccm afadhali kiu
  8. M

    Swali lisilojibiwa: Ndege ya Qatar iliwezaje kutua KIA?

    Hiyo ndio serikali ya CCM iliyojaa wezi wa raslimali za nchi,na hiyo kesi itapotelea hewani na hao wanyama harudi hata mmoja
  9. M

    Nimefanya yote sasa naomba na nyie mseme

    Ahsanteni sana kwa ushauri wenu mbarikiwe
  10. M

    Mawaziri wa JK Noma - Ezekiel Mayige

    If you want me to tell you who you are,tell me your friends.So if you want to know who is JK look his ministers
  11. M

    pilipili

    Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah hii kali ya mwaka,sikulaumu ulisema huyajui ukijua utaacha
  12. M

    Najuta kulipandia........

    Hongera kwa mashairi mazuri,pole mwanakwetu mbona kuna gari mpya zipo zinauzwa hayo ya zamani sisi tumeyaacha
  13. M

    Moto wa CHADEMA wawaka Uganda

    Kilichobakia ni wananchi kususia mikutano ya mafisadi
  14. M

    Ni kweli kabisa Rais Jakaya Mrisho Kikwete sio mbayuwayu

    Kazi ya ikulu hiyo mwaka huu tutasikia mengi,tuwasubiri maasikofu watasema nini baada ya hayo masaa 48
Back
Top Bottom