Ni kweli wanaharibu elimu wanawatupia lawama wasoihusika, inabidi wawajibishwe, sio sahihi kuachwa bila kuwajibishwa. jamani tunipeleka wapi Tanzania yetu. Ndugu mheshimiwa(kama wanvyowaiota vinongozi) tazama kwa jicho la kesho, acha ubinafsi na ufisadi ili tanzania iweze kuendelea
Nawashangaa hawa wazee,ya nini kupiga ngoma ya masika watu wacheze kiangazi?suluhisho ni serikali mbili ya Tanganyika na Zanzibar muungano tukutane East Africa".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.