VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Jana Wabunge wa upinzani wa nchini Uganda walitoka nje ya Bunge la Uganda wakati Rais wa nchi hiyo,Yoweri Kaguta Museveni,alipokuwa anaendelea kuhutubia.
Tukio hilo lilitokea mara tu baada ya Rais Museveni kuyaita maandamano ya kupinga kupanda kwa gharama za maisha nchini humo kuwa ni fujo.Wabunge wote wa upinzani walimsusia Rais hotuba yake hiyo ya kulizindua Bunge hilo jipya la Uganda linalooongozwa na Spika Mwanamke kama hapa
Tanzania.
Hali kama hiyo ilimkumba Rais Jakaya Mrisho Halfani Kikwete pale alipokuwa akizindua Bunge hili la kumi ambapo Wabunge wote wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA walipotoka nje ya Bunge wakati Rais Kikwete akiendelea kuhutubia.Nini hasa mantiki ya mambo haya?
Kikwete na Museveni wamechokwa?
Tukio hilo lilitokea mara tu baada ya Rais Museveni kuyaita maandamano ya kupinga kupanda kwa gharama za maisha nchini humo kuwa ni fujo.Wabunge wote wa upinzani walimsusia Rais hotuba yake hiyo ya kulizindua Bunge hilo jipya la Uganda linalooongozwa na Spika Mwanamke kama hapa
Tanzania.
Hali kama hiyo ilimkumba Rais Jakaya Mrisho Halfani Kikwete pale alipokuwa akizindua Bunge hili la kumi ambapo Wabunge wote wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA walipotoka nje ya Bunge wakati Rais Kikwete akiendelea kuhutubia.Nini hasa mantiki ya mambo haya?
Kikwete na Museveni wamechokwa?