Moto wa CHADEMA wawaka Uganda

Moto wa CHADEMA wawaka Uganda

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Jana Wabunge wa upinzani wa nchini Uganda walitoka nje ya Bunge la Uganda wakati Rais wa nchi hiyo,Yoweri Kaguta Museveni,alipokuwa anaendelea kuhutubia.

Tukio hilo lilitokea mara tu baada ya Rais Museveni kuyaita maandamano ya kupinga kupanda kwa gharama za maisha nchini humo kuwa ni fujo.Wabunge wote wa upinzani walimsusia Rais hotuba yake hiyo ya kulizindua Bunge hilo jipya la Uganda linalooongozwa na Spika Mwanamke kama hapa
Tanzania.

Hali kama hiyo ilimkumba Rais Jakaya Mrisho Halfani Kikwete pale alipokuwa akizindua Bunge hili la kumi ambapo Wabunge wote wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA walipotoka nje ya Bunge wakati Rais Kikwete akiendelea kuhutubia.Nini hasa mantiki ya mambo haya?

Kikwete na Museveni wamechokwa?
 
moto huwa unawaka taratibu,ukisikia kwa jirani moto unawaka jaribu kuweka kwako sawasawa
 
duh,naikubali kazi ya wakenya,...
wao ndo hua hawana uoga hata bungeni
 
moto bado unazidi kuenea mpaka kwa wananchi wote ndiyo itakuwa sahihi
 
Kiongozi au chama wakiwa madarakani muda mrefu hupoteza uelekeo. Kwani, Muamar Ghadafi, Husni Mubarak, Mugabe nk walianza vizuri. Walilewa kwa kutawala muda mreefu. Ndivyo ilivyo kwa museveni,kama rais na CCM kama chama. Suluhisho ni kuwavurusha na kuwapopoa popote pale. Hadi ukombozi kamili upatikane, ALUTA CONTINUA!
 
Ukiona mwenzako ananyolewa nawe tia maji,kizuri kinaigwa,thus waganda wameiga kutoka CDM,illi kufikisha jumbe wao na feelings zao kwa matendo;m7n na JK lao nimoja;wwote wachakachuaji:majani7::majani7:
 
Jk na Museven hata machoni kwa wananchi hatutaki kuwaona kabisaaaaa!!!.Ningekuwa Mungu tayari mafaili Yao ningekuwa nilishayachoma moto siku nyingi
 
Jana Wabunge wa upinzani wa nchini Uganda walitoka nje ya Bunge la Uganda wakati Rais wa nchi hiyo,Yoweri Kaguta Museveni,alipokuwa anaendelea kuhutubia.Tukio hilo lilitokea mara tu baada ya Rais Museveni kuyaita maandamano ya kupinga kupanda kwa gharama za maisha nchini humo kuwa ni fujo.Wabunge wote wa upinzani walimsusia Rais hotuba yake hiyo ya kulizindua Bunge hilo jipya la Uganda linalooongozwa na Spika Mwanamke kama hapa Tanzania.Hali kama hiyo ilimkumba Rais Jakaya Mrisho Halfani Kikwete pale alipokuwa akizindua Bunge hili la kumi ambapo Wabunge wote wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA walipotoka nje ya Bunge wakati Rais Kikwete akiendelea kuhutubia.Nini hasa mantiki ya mambo haya? Kikwete na Museveni wamechokwa?

Hawa jamaa si ndio walijifanya kuiga sera za Chama cha Demokaya na Magwanda ( CHADEMA) za kupenda vitu vya bure bure wakashindwa kwenye uchaguzi, sasa wameiga tena upuuzi. Kweli wajinga wali wao, halafu watamfuata M7 kama huku CHADEMA wanavyo mlilia rais awafanyie wayatakayo
 
Siyo kila maandamano na migomo huwa na lengo jema, mengine ni mabeberu huandaa watu kwa manufaa yao. Tafakar Libya waliandamana kwa sbb kipi kilipanda bei? Walikosa fedha za elimu? Walinyimwa matibabu?

Miundombinu ilikuwa duni? Lakini ukweli wa majawabu ya maswali haya na mengine mengi n Marekani wanataka kunyang'anya nchi ya Libya haki yake ya kumiliki rasilimali zake, hususan MAFUTA. Pia tukumbuke kuwa Uganda tayari ina mafuta, huenda MAREKANI wamegundua kuyapata kwa mikataba ya Buzwagi imeshindikana kwa Museven, sasa wamewatengeneza kina Besigye kwa malengo yaleyale ya Benghaz.

Kwa nini nasema hivi? Kwa sababu Museven hakukurupuka kuita wawekezaji wakati waganda hawajawa na ujuzi na taaluma ya mikataba ya malighafi hii, hivyo ilibidi akasomeshe vijana wa kignda kwa maandaliz ya faida ya taifa hilo.

Kwa mbinu hiyo wamarekani wamegundua kwa Museven mchana unageuka usiku kwao, cha msingi kumuondoa tuweke akina Besigye, kwani wao wanahitaji kutawala tu.

Chonde wanajamii migomo na maandamano ktk nchi zetu tuyapime kwa wigo mpana, nyuma yake kuna watu wana agenda tofauti. Tukishaanza chinjana wao huwa wako LONDON, NEW YORK, PARIS na kwingine kwa walowatuma kazi.
 
Hawa jamaa ni wajeshi na wanaongoza kijeshi,tofauti na Kagame.

1.m7,J.K wanafuja sana kodi za wananchi

2.Wanachuuza rasilimari za wazawa na kibaya zaidi

3.Wanaendekeza rushwa kwenye nchi zao,mbali ya hvyo hawa jamaa

4.Wanazigeuza serikali na vyama vyao kuwa sehemu ya familia zao.i.e (wake,watoto,ndugu,mashemeji n.k)

Kwa hali hii,hawa jamaa ama wajiuzuru wao ama wapinduliwe,kamwe hawatabaki salama
 
Jana Wabunge wa upinzani wa nchini Uganda walitoka nje ya Bunge la Uganda wakati Rais wa nchi hiyo,Yoweri Kaguta Museveni,alipokuwa anaendelea kuhutubia.Tukio hilo lilitokea mara tu baada ya Rais Museveni kuyaita maandamano ya kupinga kupanda kwa gharama za maisha nchini humo kuwa ni fujo.Wabunge wote wa upinzani walimsusia Rais hotuba yake hiyo ya kulizindua Bunge hilo jipya la Uganda linalooongozwa na Spika Mwanamke kama hapa Tanzania.Hali kama hiyo ilimkumba Rais Jakaya Mrisho Halfani Kikwete pale alipokuwa akizindua Bunge hili la kumi ambapo Wabunge wote wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA walipotoka nje ya Bunge wakati Rais Kikwete akiendelea kuhutubia.Nini hasa mantiki ya mambo haya? Kikwete na Museveni wamechokwa?

Kikwete na M7 lao moja.
 
jana wabunge wa upinzani wa nchini uganda walitoka nje ya bunge la uganda wakati rais wa nchi hiyo,yoweri kaguta museveni,alipokuwa anaendelea kuhutubia.tukio hilo lilitokea mara tu baada ya rais museveni kuyaita maandamano ya kupinga kupanda kwa gharama za maisha nchini humo kuwa ni fujo.wabunge wote wa upinzani walimsusia rais hotuba yake hiyo ya kulizindua bunge hilo jipya la uganda linalooongozwa na spika mwanamke kama hapa tanzania.hali kama hiyo ilimkumba rais jakaya mrisho halfani kikwete pale alipokuwa akizindua bunge hili la kumi ambapo wabunge wote wa chama cha demokrasia na maendeleo-chadema walipotoka nje ya bunge wakati rais kikwete akiendelea kuhutubia.nini hasa mantiki ya mambo haya? Kikwete na museveni wamechokwa?

safi sana bado kenya,rwanda,na burundi
 
Siyo kila maandamano na migomo huwa na lengo jema.mengine ni mabeberu huandaa watu kwa manufaa yao.tafakar Libya waliandamana kwa sbb kipi kilipanda bei!? Walikosa fedha za elimu?,walinyimwa matibabu? Miundombinu ilikuwa duni?
Lakini ukweli wa majawabu ya maswali haya na mengine mengi n Marekani wanataka kunyang'anya nchi ya Libya haki yake ya kumiliki rasilimali zake,hususan MAFUTA.Pia tukumbuke kuwa Uganda tayari ina mafuta,huenda MAREKANI wamegundua kuyapata kwa mikataba ya Buzwagi imeshindikana kwa Museven,sasa wamewatengeneza kina Besigye kwa malengo yaleyale ya Benghaz.kwa nini nasema hv? Kwa sbb Museven hakukurupuka kuita wawekezaji wakati waganda hawajawa na ujuzi na taaluma ya mikataba ya malighafi hii,hivyo ilibidi akasomeshe vijana wa kignda kwa maandaliz ya faida ya taifa hilo.kwa mbinu hiyo wamarekani wamegundua kwa Museven mchana unageuka usiku kwao,cha msing kumuondoa tuweke akina Besigye,kwan wao wanahitaji kutawala tu.chonde wanajamii migomo na maandamano ktk nchi zetu tuyapime kwa wigo mpana,nyuma yake kuna watu wana agenda tofauti.tukishaanza chinjana wao huwa wako LONDON,NEW YORK,PARIS na kwingine kwa walowatuma kazi.

Petit ongelea tu ya TZ na UG haya ya Libya ni tofauti hata kama USA wana mkno wao katika yale maandamano lakini ki ukweli Libya uliyokuwa unaifahamu ilikuwa Tripoli na maeneo aliyotoka Ghadafi kwingineko hali ilikuwa mbaya sana!
 
Back
Top Bottom