Ziara ya Hillary Clinton kuja: Picha na Matukio

Ziara ya Hillary Clinton kuja: Picha na Matukio

SYMBION ni utapeli wa wamarekani kwa Tanzania na kama mama Clinton alikwenda kukagua mitambo yao sasa kwanini tumlaumu kwa kutopanga kuonana na upinzani wanaosema SYMBION ni haramu. Mwacheni leo aongee na mwenye nchi aondoke hana jipya kwa maendeleo ya nchi hii
 
That hotuba so much promising, hopes to the fullest, no dying, apex stage of democracy.....loo!

But,carefully she never said khs uranium yetu au madini. Only umeme tena wa Symbion ya juuuzi tu!

God bless AFRICA,
God bless Tanzania.
 
Katika ziara za mataifa mengi ya duniani ambapo viongozi wa ngazi ya juu wa marekani na hasa hasa ikiwa ni Rais au Waziri wa mambo ya nchi za nje, wamekuwa na kawaida ya kukutana kwa mazungumzo na viongozi wa serikali pamoja na wa upinzani ili kujua hali ya kisiasa ya nchi kwa mantiki ya kurekebisha wao wakiwa kama Taifa kubwa , na lililoendelea kidemokrasia duniani. Ila kwa Tanzania , Mh. Hillary Clinton, amefanya mazungumzo na viongozi wa serikali tu, pasipo kuwepo na mazungumzo na wapinzani.
Je , hii ni kusema serikali ya marekani haiutambui upinzani wa Tanzania na kuuona kuwa hauna manufaa kwa watanzania?

magamba ya nape yanachekesha , hope nape akisoma hii atakupa buku 2 du! niagieni ccm
 
SYMBION ni utapeli wa wamarekani kwa Tanzania na kama mama Clinton alikwenda kukagua mitambo yao sasa kwanini tumlaumu kwa kutopanga kuonana na upinzani wanaosema SYMBION ni haramu. Mwacheni leo aongee na mwenye nchi aondoke hana jipya kwa maendeleo ya nchi hii

Ukiona hakuongea na wapinzani ujue hawana jipya, kwani wameisha dharaulika nchi na nje ya nchi sasa wanadharaulika
 
urimbukeni wa madaraka ndo unawasumbua viongoz wa Tz
 
magamba ya nape yanachekesha , hope nape akisoma hii atakupa buku 2 du! niagieni ccm

Ndio tatizo la MAGWANDA , badala yakujibu hoja mnaleta upupu, kama ndio akili zenu ni hivi basi mna safari ndefu sana yakushika dola hii
 
Mwizi akutane na wenye uchungu na nchi!!!Wewe kwenye pepo ulaya hakai siku 2 hapa kwenye vumbi akite siku 3?Bush aliyekuja kuweka mikataba ya kuuziana nchi kakita siku 4 nauoga wawamarekani!!!Wewe inakuingia kichwani?Wakati anajua akiwapa platform wapinzani wataoji kwanini nchi yao inaujumiwa?
Hivyo huku nishamba lao! Nasisi........>>>>
 
Haya ni mazao ya sera nzuri za CCM kuvutia viongozi maarufu duniani kufika Tanzania
unachekesha wewe, hotuba ya huyo mama ana kitu alicoongelea kwa msisitizo: utawala bora, maisha bora ya kila mwanchi na uchumi bora endelevu. CCM inajidai na nini hapo?
 
Wewe bure kabisa, unanikumbusha story za marehemu babu yangu kule Lushoto. Alisema kuwa wakati huo ukifanya kazi nyumbani kwa mzungu halafu akakupa funguo za chooni ukafanye usafi basi utatamba kijiji kizima kuwa unaaminika ndio maana umepewa funguo za chooni.
Namnukuu; " Osie yuja mzungu anikunda kweikwei hata funguo za chooni aza nha"
Sasa ndio nyie wa sasa na maneno yenu.


Kaka kula tano...
 
Ndio tatizo la MAGWANDA , badala yakujibu hoja mnaleta upupu, kama ndio akili zenu ni hivi basi mna safari ndefu sana yakushika dola hii

Mwaka 1996,Bibi huyu alikuja Tanzania enzi hizo yeye 1st Lady alifungua kampuni ya simu ya ADESEMI sas hivi iwapi acheni upuuzi wenu nyie Magambasons of B*****!!!
 
ni huyu huyu ndiye aliyemzika binamu yako (RIP) baharini na wewe ukakimbia nyumba kule Abbottabad
Jibu hoja kwa nini Bi. Clinton, hajaonana na Dk Slaa si huwa mnasema dunia yote inamtambua Dk Slaa, kumbe ujanja wake Kilimanjaro na Arusha kumbe ata Marekani hawamjui
 
kama hii hapa kikwete.jpg
 
Angekuwa ametembelea chadema wala msingeponda hivo, kama wazungu ama wamerekani ni wezi mbona mkichakachuliwa mnakimbilia kwenye balozi zao. Huu unafiki huu,
 
Bado CDM haijakua, chama kikikua mjukuu wake atawatembelea tu. subirini hata mpate 40% ya bunge basi, yani vijibunge kidogo halafu mnataka ukubwa.

Umesoma hadi darasa la ngapi aisee?
 
huyu mama hawezi kukaa anasikiliza mambo ya kinafiki, amekuja kikazi sio kuja kusikiliza stori za kijiweni. Sasa hawa chadema watawambia nini wakati hawana faida yeyote zaidi ya kuleta fujo. SLAA wafate warusi labda watakusikiliza.
wajinga ndo waliwao
 
Ni aibu sana kwa viongozi wetu, utafikiria kuwa hawajazaliwa hapa home, na sijui hata wanachoringia manake kila walichonacho ni kodi yetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom