Ninamshauri asihame chama kwakua alipokua anajiunga na chama hakua na cheo chochote ila alikipenda na kuendeleza harakati katika chama na kazi zake za kikamati. TAIFA KWANZA CHAMA BAADAE na pia ajue watanzania wengi bado tupo nyuma yake na ukweli utazidi kufichuka. CHADEMA SI YA MTU MMOJA IPO...
Laiti hili lingefanywa na waisilamu tungesikia kua ni udini lakini kwa upande wakristo si udini na ni jambo bora mpaka tunatamani na sisi watanzania litokee kwetu, polisi wetu nao watangaze injiri wakiwa kazini.
je hujui kua machafuko nchi zenye waisilam wengi nyuma yake kuna mataifa ya magharibi? Kuhusu waumini kua majanga sio dini hii tu na ndio maana kunaviongozi wa dini nyingine mashoga na wengine wanakesi za ubakaji, je hayo si majanga?
Ninavyo jua mimi laiti nyongeza ingekua kubwa basi ingetangazwa wazizi na kurudiwarudiwa kwa mbwembwe bila kuwa na sentensi za kukanganya wafanyakazi ila tukiona tunasoma waraka halafu unaona nyongeza 45%, 65% nk. ila mfanyakazi wa serikali hajijui yupo wapi? Sidhani kama nyongeza itafika 20%.
Sina uhakika kama mimi ndio nimekosea jukwaa nililo fungua au mwenzangu kakosea sehemu husika ya mada yake au pia huenda yupo sahihi labda kapata tetesi kuna teknology ya kuona wachawi katika jukwaa hili. Simanishi nimedharau shida yako ila uhusiano wa jukwaaa mmmh!
Kweli kabisa mawazo ya warekebishaji wa matokeo na wanafunz waliofanya mitihani ni sawa. Maana wote wanatumia same brain. Nahisi waliofanya mtihan wanamchango wao juu ya njia ya kutatua tatizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.