Mkubwa Jalala
Senior Member
- Mar 21, 2012
- 112
- 23
Hivi nipo jamii forum au FB. Naana fb nilihama zamani na leo ninafungua bila kujua.
Comment ya kijinga kabisa.. basi tungekua tunavaa sanda kila sehemu tuzikwe nazo
Fikra za kichawi chawi
Hivi nipo jamii forum au FB. Naana fb nilihama zamani na leo ninafungua bila kujua.
Mkuu tatizo lile lile limejirudia. Watoto wa FB wamehamia humu. Natamani moderators waweke strong rules za watu kujiandikisha humu. Below 25 wote piga chini. Inawezekana kama mods wataanza kupitia utumbo mmoja baada ya mwingine na kufutilia mbali account mbofu mbofu. Watoto wengi washaharibu hata ile sifa ya GREAT THINKERS humu. Mods nao wameipoteza hiyo dira
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kwani nani kakwambia hatoi sadaka,last year alitoa mil 60 kanisani kwao Moshi alipokua ana kipaimara ya mwanae.Jamani mtu akipata pesa haimaanishi haendi katika ufalme wa Mungu,tusikipe moyo kwamba kwa vile hatuna mali kama fulani basi tutapata rehema ya Mungu,Mungu yeye ndio anajua walio wake.Aaah watu mna vituko,mnatuchekesha tulionuna hapa..Mi namshauri ingekuwa vizur badala ya kujitangaza kwa kununua xpensive cars,basi angekuwa anatoa sadaka kwa vituo vya watoto yatima ili Mungu amkumbuke katka ufalme wake..dini iliyo safi ni kusaidia wajane na yatima; na pia amkumbukae masikini...wasomaji wa Zaburi mtanisaidia kumalizia
Kwani nani kakwambia hatoi sadaka,last year alitoa mil 60 kanisani kwao Moshi alipokua ana kipaimara ya mwanae.Jamani mtu akipata pesa haimaanishi haendi katika ufalme wa Mungu,tusikipe moyo kwamba kwa vile hatuna mali kama fulani basi tutapata rehema ya Mungu,Mungu yeye ndio anajua walio wake.
ni kweli tatizo limejirudia. kwani watu wa FB wakoje? Me siwaelewagi kabisa nyie mnaosema 'msilete mambo ya FB humu'
Hata usemeje ni point ya kijinga.... Ishi kaburini kabisa huna haja ya nyumba....wewe ndio mjinga sio point
Comment ya kijinga kabisa.. basi tungekua tunavaa sanda kila sehemu tuzikwe nazo
Fikra za kichawi chawi
hivi hili jamaa la pembeni linaitwaga nani?nimeliona mara kadhaa viwanjani linajitiaga toto wakati nilimsogelea kwa karibu ngozi imemsinyaa kuonyesha jua linazama kiumri....Naona "mtu wetu" kama kawaida yake kajisogeza kupata snepu.......
![]()
Hawa sasa ndio drugs dealers,sio idd azzan!Utajiri wake umeibuka ghafla baada ya kikwete kuwa rais