Mkubwa Jalala
Senior Member
- Mar 21, 2012
- 112
- 23
kije tu haraka maana hivi vengine vya star times ni majanga matupu
Mpaka leo sijanunua kutokana na usumbufu wanaoupata ndugu na marafiki zangu, labda hicho cha lambalamba kitanifaa.
kije tu haraka maana hivi vengine vya star times ni majanga matupu
Are you serious? kweli mbongo ukimwalika hata maji atakunya katoni nzima!
Umeaona mkuu eeh!! Eti kijamaa kinasema 13 bila hata chenga!!
Ni habari nliyoipata toka kwa bosi mmoja startimes ambao wametahadharishwa kuwa yamkini wakapigwa sana chini kimasoko kutokana na ujio huo.Hivyo wajiandae na ujio huo.
Ajitahidi sana kuleta ushindani ili bei zishuke hawa dstv wanajiona wao miungu watu kwenye mipira 72$ kwa maisha yapi?akiweza anunue access abu dhabi tv tuone mipira bure kabisa...atauza sana wengine star media watajipanga upya!