Kama tujuavyo Apple wamebana na kufunga sana simu zao kulimit watumiaji wao watumie wanavyotaka wao tu
Nyingi ya Apps nitakazo zitaja zinataka iPhone yako iwe jailbrake ili uweze kufaidi ladha halisi ya iPhone,ipod au ipad
3g Unrestrictor -
Apple wameibana iphone kudownload file mwisho Mb kadhaa kwa kutumia 3G network na unlimited kwa WIFI,Sasa Hii itafanya iphone yako iweze kuvuka kizingiti cha kudownload kwa kufake inadownload kwenye WIFi hata kama upo kwenye 3g au EDGE so unashusha mzigo kwa kadiri yako
AnyRing;
Ringtone kwa iphone urefu ni sekunde 40 na lazima iwe kwenye m4r format. Sasa Hapa utaweza kufanya wimbo wowote full kuwa ringtone yako bila kujali urefu wala format
XbackUp;
Apps zote kutoka App Store zinakuwa backed up kwenye iTune na Iclouds, sasa Apps zote kutoka nje ya Apps Store(Cydia) utaweza kuzibackup kwa kutumia apps
SummerBoad, WinterBoard
hapa ni kwaajili ya kucustomize simu yako iwe kwenye muonekane tofauti zaidi
iFile; Kwa kawaida Apple wamebana sana huwezi kuona chochote kwenye iphone zaidi ya kutumia apps zao tu, sasa iFile itakuwezesha kuperuzi kila kitu kwenye iphone yako ikiwemo kuaccess mafaili yako yote utakayo download
Shazam;
kwaajili ya kutambua muziki kama umeusikia na huujui jina, sogeza iphone yaribu ya spika acha Shazam isikie kisha itatuma kwenye darabase yake kisha itakupa full details(nyimbo za kibongo hakuna, hawajazisajili wahusika)
MyContactBackup;
unaweza kuset ikawa inabackup contact zako kwa email yako kila baada ya muda fulani, hata ukiibiwa au kudelete inakuwa rahisi zaidi kupata
BiteSMS;
Ina futures nyingi zaidi ya default ya ipone
Bridge -
Itawezesha iphone yako ku add muziki na videos kwenye ipod ya simu yako bila itune, ukimaliza kudownload video/audio kwa safari browser yenye download manager kwa iphone basi unascan kwa kutumia hii app nayo ita add automatic video/audio yako kwenye ipod player
iBlacklist –
kwaajili ya kublock calls na sms kwa wale wasumbufu, nzuri zaidi ya dont disturb me
Protube
Kwa kuDownload YouTube videos and audio
TetherMe - kuifanya iphone yako itumike kama modem kwenye Pc yako via cable or bluetooth
Safari Download Manager -
Itawezesha simu yako kudownload chochote kwa kutumia safari browser ya iphone yako, kisha kwakutumia iFile utaweza kuona na kufanyia kazi file lako
SBSettings -
Itawezesha iphone yako kuwa na short cut ya kuaccess mambo kibao kwa single click badaya ya kwenda Settings etc, etc
English Pro Dictionary(Apps Store)
Bonge moja la dictionary
Fake Location
Kwawale wanaopenda kufake location zao hii Apps inawafaa sana, Mtu yupo Tandale kwa mtogole anatupia Status kwa FB inasomeka eti yupo Samaki Samaki Mlimani City
Bible Society o Tanzania(Apps store)
Bibilia ina karibu makabila yote Tanzania kuanzia text hadi audio, unapata injili kwa Kihaya, kisambaa, kinyiramba nk nk
VLC
Apple wameibana sana iphone inaplay format chache sana, eti hata av haiplay. sasa hii app itamaliza matatizo it can play almost aina zote za video
5dWifi
Hii ni kiboko kwenye ku bypass wifi connection, ukifika mahali kuna wifi inataka password just apply this app ita crack password unakuwa connected
Battery Doctor Pro
Hii ni nzuri sana na ina futures nyingi, inakufanya uwe aware na bettery, kadri chaji inavyopungua basi unaiseti inaanza kufunga apps zotte zinazo kula sana charge na kufanya simu ikae zaidi na chaji
Apps zote hizo utazipata bure kabisa Cyidia au kama Ded file na Ipa file kwenye mitandao tofauti, just google