Mi ndo nimemuita Dar, na nitakua nae kwa muda wa week mbili. Mbona mi roho hainiumi anavyokuja kwako alale siku tatu??? Hainaga makombo hiyo, kila mtu anakula kwa muda wake
Na mvimbe mpasuke, mtajinyonga wenyewe,. Hapa Kazi tu kwani na asie fanya kazi na asile, mlizoea vya kunyonga. Sasa tunaenda kwa mwendo wa kuchinja kihalali ndo tule. Nyambwafu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.