Acha huo ngajiu wewe,ebu tueleze ilikuaje in between 1980-2016.
Hahaaaa eti hakana mvuto kabisaaa...Siti zake kama basi za mwendokasi. Nway mwanzo mgumuYaani hako kandege hakana mvuto kabisa!
Ila mwanzo mgumu!!! Tutafika tu na sisi. Tusitake kujilinganisha na mashirika yalioendelea. Ni kama vile mtu alivunjika mguu, akafungwa P.O.P na baada ya miezi kadhaa akapona. Hatoweza tembea kama zamani hapohapo... Itachukua mda.
Tujipongeze kwa hatua tuliochukua.
Ndo uwezo wetu umefikia hapo mkuu..Yan hapo wataalamu wamewaza mpaka akili zimegota wakaamua kununua panga boytuache utani hii ndege ya 2016 ni mbaya bana
Kwahiyo wewe hujui nani katuroga ............ Hivi vitu vyooooooote wameviua ccm,maana tulikuwa navyo kipindi hiko,na leo hii wameturudisha nyuma wao halafu mnataka tuwasifie nyie watu mko sawa kweli............Mwalimu alishatutengenezea misingi mizuri sana ktk nchii,lakini wakaja wajanja wakaviua vyote.Mmh kweli wabongo hawana shukrani......sasa ndo mlitaka tuendelee kubaki hivyo hivyo tu muendelee kuisema serikali? Usipoweza ku-"appreciate" kwa kidogo basi hata kikubwa hutoweza.....Kwa roho zetu wabongo tunaomba zife na hizo ili tupate cha kuongea...Aiseee sijui nani katuroga.....
Weka siasa kando mkuu hao lumumba fc ni janga la kitaifa.....mimi nimehoji tu hapo je ulitaka isinunuliwe hata hiyo panga boy? Mambo ya kusema tulikua navyo hiyo ishapita na hatuwezi kuvipigia mahesabu vitu ambavyo huna ni sawa na kuipigia hesabu pilau uliokula jana.....mi naona jambo la msingi ni kuanza moja unapoanguka na kuangalia tulifeli wapi mwanzo tuhakikishe hatujikwai tena sehemu ileile.....sidhani kama mwizi akivunja nyumba yako akakuibia utabaki hapo hapo na kulalamika pasipo kufanya jitihadi kupata vitu vingine tena huku ukiendelea kumsaka mwizi wako.Kwahiyo wewe hujui nani katuroga ............ Hivi vitu vyooooooote wameviua ccm,maana tulikuwa navyo kipindi hiko,na leo hii wameturudisha nyuma wao halafu mnataka tuwasifie nyie watu mko sawa kweli............Mwalimu alishatutengenezea misingi mizuri sana ktk nchii,lakini wakaja wajanja wakaviua vyote.
Kwa mara ya kwanza tangu niingie JF,ndio nimepewa jibu la POINT. Mara nyingi huwa najibiwa pointless,senkyu sana.Weka siasa kando mkuu hao lumumba fc ni janga la kitaifa.....mimi nimehoji tu hapo je ulitaka isinunuliwe hata hiyo panga boy? Mambo ya kusema tulikua navyo hiyo ishapita na hatuwezi kuvipigia mahesabu vitu ambavyo huna ni sawa na kuipigia hesabu pilau uliokula jana.....mi naona jambo la msingi ni kuanza moja unapoanguka na kuangalia tulifeli wapi mwanzo tuhakikishe hatujikwai tena sehemu ileile.....sidhani kama mwizi akivunja nyumba yako akakuibia utabaki hapo hapo na kulalamika pasipo kufanya jitihadi kupata vitu vingine tena huku ukiendelea kumsaka mwizi wako.
Karibu sana mkuuKwa mara ya kwanza tangu niingie JF,ndio nimepewa jibu la POINT. Mara nyingi huwa najibiwa pointless,senkyu sana.
Anajitahadhalisha na mapanga shaaahuyo twiga wa chini mbona kama kapinda mgongo??
Hizo ndege mbili pesa imepigwa ya uhakika, hâta cag haruhusiwi kukagua manunuzi yake
Wakija wenyewe utasikia inakula lita moja kwa lisaa mara ndio ndege bora kwa sasa dunia na majibu mengine kibao,Mhhh napita tu ngoja waje wenyewe