Yote tisa, kumi ni hili analoenda kufanya Ndalichako, mjiandae kulia na kusaga meno!

Wakati ndugu zetu waislam wanamkataa huyo bi Joyce Ndalichako pale baraza la mitihani (Siwezi kum-adress kama profesa kwa jinsi anavyotenda), nilidhani kuna chembe za udini (Naoimba nikiri hivyo), lakini sasa nimetambua waislamu wale walikuwa sahihi sana na waliona vitu ambavyo wengine tulikuwa hatujaviona au kupofushwa na hoja ya udini!
Nina ndugu wa karibu wamekosa mikopo pamoja na umasikini na kufaulu kwao. Inauma sana huyu mama Mungu anamuona. Tuliwakebehi BAKWATA walipomkataa lakini sasa watu wengi zaidi wanaona uchungu wa kutengwa, kunyanyasa na kutosaidiwa na serikali. Ninamuomba Mungu niendelee kuwa mzalendo kwa nchi yangu.
 
Wakati ndugu zetu waislam wanamkataa huyo bi Joyce Ndalichako pale baraza la mitihani (Siwezi kum-adress kama profesa kwa jinsi anavyotenda), nilidhani kuna chembe za udini (Naoimba nikiri hivyo), lakini sasa nimetambua waislamu wale walikuwa sahihi sana na waliona vitu ambavyo wengine tulikuwa hatujaviona au kupofushwa na hoja ya udini!
Ktk hili Ndalichako mtamuonea bure tu, haya anayoyafanya ni maagizo tu toka kwa aliyemteua
 
Nasisi kamwe hatutawachagua mafisadi na hao wanaoendekeza ukanda. Nanyi muishie kuiona ikulu kwa nje na ufisadi wenu. Na wewe lazima ni wa pepo za kas.
We mpumbavu kwel unawaza uccm tu badala yakuwaza wao watakao sitishiwa mikopo watasomaje
 
Hali hii ya ukatili inaweza kupelekea vijana waliopigika kimaisha kuanzisha kundi la

"Fuerzas Armadas Revolucionarias de Tanzania(FART)"
(Revolutionary Armed Forces of Tanzania)

Ni jambo baya sana hili,tusifikie huko.Serikali ifikirie upya juu ya hili.


Mzazi wa mwanafunzi aliyeshindwa kulipa kwa wakati ada ya 20,000 au 70,000 Sekondari leo unamuamrisha kulipa 800,000 au 1,000,000 hii ni moja ya maajabu ya dunia.
 
Vijana wanaosoma elimu ya juu na wanaotarajia kuwa kwenye vyuo vya elimu ya juu mbali na nyumbani kwao ifikapo 2020; nawaomba watunze tu nauli ya kwenda na kurudi vyuoni kipindi cha kujiandikisha kupiga kura wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, na wakati wa kupiga kura. Kwa sababu ambao wanaenda kujiandikisha kule wanakotoka vyuo vinapofungwa wakati wa kupiga kura watapiga kura na kama endapo vyuo havitafungwa na kujikuta wapo vyuoni basi wataweza kuchomoka na kwenda kupiga kura ingawaje vyuo vinaweza vikaweka zengwe.

Changamoto hii wanaipata yawezekana kwa kiasi fulani inachangiwa na wengi au baadhi yao kukosa nafasi yao ya kikatiba kuchagua viongozi kuanzia ngazi ya Urais mapaka Udiwani.
 
Ikiwa hauna ndugu aliyekosa mkopo (japo alistahili) utakuwa uko sahihi kabisa.
Vinginevyo machungu yake huwezi kuyajua!
Nilikosa mkopo! Nikijua watu wengi ambao nashangaa kwa uwezo wa wazazi wao kimaisha, na maisha nikiishi nao, hawakustahili zaidi yangu!...
It's my own klaat experience buddy!
 
Nilikosa mkopo! Nikijua watu wengi ambao nashangaa kwa uwezo wa wazazi wao kimaisha, na maisha nikiishi nao, hawakustahili zaidi yangu!...
It's my own klaat experience buddy!
So mleta Uzi amepotoshaje kama na wewe ni mfano hai?! Huoni kama unajichanganya?!
 
Na mvimbe mpasuke, mtajinyonga wenyewe,. Hapa Kazi tu kwani na asie fanya kazi na asile, mlizoea vya kunyonga. Sasa tunaenda kwa mwendo wa kuchinja kihalali ndo tule. Nyambwafu
 
Vijana wanaosoma elimu ya juu na wanaotarajia kuwa kwenye vyuo vya elimu ya juu mbali na nyumbani kwao ifikapo 2020; nawaomba watunze tu nauli ya kwenda na kurudi vyuoni kipindi cha kujiandikisha kupiga kura wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, na wakati wa kupiga kura. Kwa sababu ambao wanaenda kujiandikisha kule wanakotoka vyuo vinapofungwa wakati wa kupiga kura watapiga kura na kama endapo vyuo havitafungwa na kujikuta wapo vyuoni basi wataweza kuchomoka na kwenda kupiga kura ingawaje vyuo vinaweza vikaweka zengwe.

Changamoto hii wanaipata yawezekana kwa kiasi fulani inachangiwa na wengi au baadhi yao kukosa nafasi yao ya kikatiba kuchagua viongozi kuanzia ngazi ya Urais mapaka Udiwani.
Mkuu tatizo misukule ya lumumba itaiba kura
 
Back
Top Bottom