kabwigwa
JF-Expert Member
- May 17, 2014
- 933
- 1,533
Mmmmhhh!Mleta mada naona una maslahi binafsi na Abednego,Unadai ye ndo alianza kurekod tutajuaje mbona hakuitoa??Kifupi ni copy na kupaste beat ya darasa kabisa hii mpaka baadhi ya maneno.Sijui ni ufinyu wa mawazo au ndo kulazimisha game,Kifupi hakuna ubunifu wowote hapo.Diamond tayari kashatumia vionjo vya salome ya Saida kwanini nayeye Belle 9 atumie kama sio kukosa ubunifu ni nini?So anataka kutuambia Darasa na Diamond ndo wamemuibia ideas mpaka beat?
Kifupi namlaumu Belle 9 na manejiment yake kwa ujumla kwanini waruhusu huu wimbo utoke wakati ni dhahiri shahirikacopy?
Kifupi namlaumu Belle 9 na manejiment yake kwa ujumla kwanini waruhusu huu wimbo utoke wakati ni dhahiri shahirikacopy?