Nakumbuka pia alivyoanza, tulimkabidhi kwa mpendwa BADILI TABIA awe mlezi. Ni wazi huyu ana issues zinaendelea kwenye maisha yake.
Hakuna baba hapo...ni popobawaNi baba mzazi au wa kufikia na utakaa kimya mpk lin
INAWEA ISIWE UWONGO perce but KUNA KITU ANATAKA KUSEMA,pengine alitaka kusema all along(nikifatilia thread zake ana vitu vingi but ukisoma ni kama huelewi exactly nini kimeandikwa)Kwanza sijui alikuwa anakimbilia wapi kuandika kitu ambacho kiko serious kiasi hiki. Bado najaribu kuchambua kama ametumia Kiswahili ama la.
Sijui kwa nini na mashaka na hii thread. Ni Kama vile imejaa uwongo.
Mara ya kwanza christmas alikuwa amelewa amerud nyumban ucku akanfata chumban akanifanyia kwa lazima mama hakuwepo nilibak na wadogo zng, aliponifanyia hivo akawa anakimbia kama akibaki nyumban anabaki room anatoka kdogo anarud room
aliporud mama mimi nikamwambia mama nataka nihamie hostel niwe narud nyumban holidays na cku 1 weekend mama alikubal baba akakataa nikanyamaza ckumwambia mama. Yeye haendagi kazin j2 jana ameenda amesahau files nyumban amemwambia mama nimpelekee nimefka amenikamata kwa nguvu akanibaka tena
Leo asubuh ametupeleka shule kama akatupeleka shule ananza kunishusha mm alafu anawapeleka wadogo zangu leo ameanza kuwashusha wao halafu akanipeleka mm. Ameongea nicmwambie mama au mtu mwingine nikiwa nashuka ananiambia nimkiss mdomo
Nataka nimwambie mama naogopa nikikaa nisimwambie atanifanya tena nimeanza kumuogopa hata nkickia saut yake na naogopa kumwambia mama nataman nipotee niende mbali lakin cwez[/QUOTE
Hueleweki
Ni mtunzi mzuri sana wa hadithi za hisia.
Hivi ni wewe ndo ulisemaga unakataka haka katoto?
Hapana Mkuu, Ila Katakua Kazur....

INAWEA ISIWE UWONGO perce but KUNA KITU ANATAKA KUSEMA,pengine alitaka kusema all along(nikifatilia thread zake ana vitu vingi but ukisoma ni kama huelewi exactly nini kimeandikwa)
PENGINE LEO AT LAST NDO KASEMA KINACHOMSUMBUA MIAKA YOTE SINCE ANAANDIKA HIZO THREADS!
sitashanga akisema huu ubakaji ULIANZA AKIWA MDOGO!
Basi BADILI TABIA atupe mrejesho!