Recent content by Mkolon

  1. Mkolon

    Full tutorial: Tengeneza Paypal na link na kadi yako ya benki

    Nashukuru sana nimesha register PayPal bahati nzuri Card yangu ya CRDB ni MasterCard na niliisha register kwa huduma za internet Banking,nimeshaanza na kununua Software online.
  2. Mkolon

    Anayejua jinsi ya kujiunga na Pay Pal

    Wakuu,poleni na majukumu,mimi ninahitaji msaada wenu namna ya kufungua akaunti ya PAY PAL . kazi njema.
  3. Mkolon

    Msaada: Window 7

    Usihofu kuuliza sio ujinga,labda tu nikuulize swali je kazi zako unazi save?kama unasave una save wapi,lakini unapobonyeza tu save as document yako inakwenda direct kwenye My Document,isipokuwa wewe mwenyewe unaweza kubadilisha ni wapi u save kazi zako
  4. Mkolon

    Msaada kwenye blackberry

    Sawa mkuu,ni BlackBerry 8310 Smartphone(EDGE) kampuni ni at&t USA
  5. Mkolon

    How to desplay picture to my website designed by using frontpage

    Thankx,Picha ziko kwenye folder tofauti.
  6. Mkolon

    Msaada wa Kurudisha file zangu kwenye extnal Hard Disk

    Yap hii ndiyo solution ya folder zako
  7. Mkolon

    Msaada kwenye blackberry

    Wakuu,salama Nilitumiwa Blackberry na rafiki yangu yuko USA,nimejaribu kuweka line za hapa bongo bdo inaniambia ni insert Sim Card Nifanyeje niweze kuitumia watalam wa mobile Phone naomba msada wenu.
  8. Mkolon

    Mwenye shida ya ku unloack Bios za Dell aina zote na Hp Compaq

    Mtu yeyote mwenye shida na Bios password ktk Dell aina zote na Hp Compaq aina zote awasiliane na mimi kama yupo nitampa mawsiliano nitahitaji kwanza vithibitisho kama laptop ni ya kwako,badae utanitumia tag Number hata kwa simu na mimi nitakutumia Master password kwa simu,ya kwanza nitakufanyia...
  9. Mkolon

    Anaejua Ufumbuzi wa Tatizo Hili Anisaidie

    Hiyo keyboar yako ina numberlock sema ina mandishi madogomadogo so kuipata ni lazima ubonyeze na key iliyoandikwa fn langi ya blue jilani na Ctrl key
  10. Mkolon

    Msaada wa Kurudisha file zangu kwenye extnal Hard Disk

    Hiyo hard disk yako ina Virus wanaosababisha file hasa folder kuwa hiden,niambie unatumia Windows aina gani nikupe maelekezo ya namna ya kuziona tena folders zako.
  11. Mkolon

    yahoo

    umekaa kii PROMO lakini ni ukweli mtupu Mkuu.
  12. Mkolon

    How to desplay picture to my website designed by using frontpage

    Naomba msada watalaam, nimedesign website kwa kutumia Frontpage nimeenda ku host lakini picha hazidesplay,siku zote natumia Dreamweaver lakini zamu hii nikataka kuijaribu frontpage sasa picha hazitokei Naomba msada labda nimekosea wapi?katika ku upload file. Nashukuru
  13. Mkolon

    Hii ofa mpya ya airtel ikoje

    Sijui wengine mnakaa mikoa gani?maana hapa Mwanza ni jana tu nilienda kuulizia hizo modem za ofa nikaambiwa mpaka june ndo zitakuwepo lakini za kawaida za 53000 wanazo,nikawashauri matangazo wayatoe kwanza mpaka zitakapokuwepo,wakaniambia watalifanyia kazi kwa ujumla hawa Airtel wezi wakubwa.
  14. Mkolon

    Nini cha kufanya endapo kirusi ameficha kazi yako iliyokuwa kwenye flash??

    Kama hujapata ufumbuzi wa kuziona hizo file ,fanya hivi ila sijui unatumia Windows gani kama Xp fungua hiyo flash nenda kwenye menyu bofya Tools,then folder option,itakuja menyu ya folder option chagua view then utaona advance seting chini yake kuna option nyingi utaona moja inaitwa Show hidden...
  15. Mkolon

    Mwisho wa CCM waja: Wameanza kuweweseka!

    Mi nakumbuka wakati wa Kampeni Kuna Mchungaji sina kumbukumbu na jina lake alihongwa pesa eti anatabilia CCM ushindi wa kishindo mpaka akazitaja 80%,sasa sijui waumini wake wataendelea tena kumuamini kuwa ni nabii au atajificha wapi? Mkapa,Lowasa Masatu a.k.a Tyson nyuso zao watazipeleka wapi?
Back
Top Bottom