Hii ofa mpya ya airtel ikoje

aisee Airtel network ipo down sana nowdays wakuu..follow me on Sasatel or zantel....have been really thinkin on this Calculation! Airtel wanakupa 400 Mb per month @ 2500/= Vodacom 50 mb per month @2000/= Sasatel 1.5gb per week eplus @ 7500. Karibuni sana! zinapatikana Malapa, Bugruni!
 
use 6000/= o more in a month,n get 3000/= worth of internet data free!! Hii ndo ofa yenyewe inayolast 4 6mnths!! 1mb costs 6.25sh so do the math of the data worth 3000!! Hii ni scam 2.kama unahamia hamia sababu ya speed 2,si kwa ajili ya hiyo ofa
 
use 6000/= o more in a month,n get 3000/= worth of internet data free!! Hii ndo ofa yenyewe inayolast 4 6mnths!! 1mb costs 6.25sh so do the math of the data worth 3000!! Hii ni scam 2.kama unahamia hamia sababu ya speed 2,si kwa ajili ya hiyo ofa

Kama 1mb ni sh 6.25 mbona ni offer nzuri? Ina maana 1gb itakua 6250, cheap zaidi. Maybe umekosea maelezo
 
Kama 1mb ni sh 6.25 mbona ni offer nzuri? Ina maana 1gb itakua 6250, cheap zaidi. Maybe umekosea maelezo

yep thats right!! No wonder u get 400MBs for just 2500/=!!what can i say,vifurushi vyao vizuri. 3GB for 15,000 that means a GB costs not 6250 but 5000 (ni data ya 1week though).
 
yep thats right!! No wonder u get 400MBs for just 2500/=!!what can i say,vifurushi vyao vizuri. 3GB for 15,000 that means a GB costs not 6250 but 5000 (ni data ya 1week though).

Hiyo ya 400MB kwa 2500/= sahau wameshaiondoa tena.....huku speed yao ikiwa kama ya konokono piga *154*44# ujionee....NGOJA NIANZE KUTAFUTA ALTERNATIVE CHEAP INTERNET kwa speed nzuri.
 
Hiyo ya 400MB kwa 2500/= sahau wameshaiondoa tena.....huku speed yao ikiwa kama ya konokono piga *154*44# ujionee....NGOJA NIANZE KUTAFUTA ALTERNATIVE CHEAP INTERNET kwa speed nzuri.

nimeiunga lyk 3days ago i think,na bado nai2mia labda wameifuta ndan ya hizo cku!! Speed sometimes hovyo NO not sometimes MOST of the times ni hovyo!!dah kamanda ukipata altenative nis2e bana hii me mwenyewe naona haijanifit! Ila mbona kenya nackia service ni cheap na fast kupita maelezo na mkonga ni huo huo mmoja,or kuna ki2 cjakipata
 
z+n1HrBWqTrywAAAABJRU5ErkJggg==
 
I thought the problem was mine alone,me mwenyewe nimejiunga na 400mb this sunday imekubali lakini speed is very low and facebook nimeshindwa ku login kabisa sijui ntafanyaje na mimi nafanya kazi vijijini sana,huku zantel nimeifungia kwenye kabati cause haipigi kazi kabisa kwa huku,nisaidieni nifanyeje sasa na kuhusu voda that cost is very expensive ukilinganisha na package yake.
 
Hakuna lolote wote ni utapeli tu wa kibiashara.
Mimi nilinunua hiyo moderm juzi pale hq, nilinunua 30,000/= na bundle ya 1G kwa 15,000/=. Nilinunua hiyo bundle baada ya kuzungushwa, mara ofa hatuijui, mara haijaanza rasmi.
Speed ni nzuri ila haizidi ya TTCL BB ambayo inakuonyesha kabisa kwamba ni 100Mbps, ya airtel haionyeshi kitu kinachoeleweka, inaonyesha variation ya data transport rate kwenye .....kbps, ndiyo ninayoitumia sasa hivi, lakini huoni kabisa hiyo transmission ya 3.75G.
 
wezi tu hawa tena hapa hapa dar kuna sehemu hakuna 3g ukiweka modem inakua kwenye EDGE tu mfano baadhi ya sehemu nyingi za mbezi beach huku
 
Sijui wengine mnakaa mikoa gani?maana hapa Mwanza ni jana tu nilienda kuulizia hizo modem za ofa nikaambiwa mpaka june ndo zitakuwepo lakini za kawaida za 53000 wanazo,nikawashauri matangazo wayatoe kwanza mpaka zitakapokuwepo,wakaniambia watalifanyia kazi kwa ujumla hawa Airtel wezi wakubwa.
 
mkuu.....mimi nimekinunua leo hii....
ki ukweli kina speed fulani ambayo sielewi sana lakini ukikiweka kwenye laptop kinajiset chenyewe na speed ni nzuri.....
tatizo linakuja......hii free internet ya miezi 6 inatoka wapi....?....wabongo na bure unatujua tena......
wakati nakinunua kulikuwa na watu wengi so nikaona muuzaji kachanganyikiwa kwa maswali....nikaona isiwe tabu nitauliza customer care.....
kupiga customer care kuuliza....muhudumu wa kwanza akanipotezea akakata simu.....
wa pili alikiri kwamba.....kweli sijui hiyo free internet inakujaje kujaje naomba unisamehe jaribu kuuliza tena kesho.....
binafsi nimebaki kwenye mataa.....naendelea nayo kwa bundle yangu ya kawaida......
ila speed mwanakwetu.....iko mwake.....
naunga mkono hoja
 
Sijui wengine mnakaa mikoa gani?maana hapa Mwanza ni jana tu nilienda kuulizia hizo modem za ofa nikaambiwa mpaka june ndo zitakuwepo lakini za kawaida za 53000 wanazo,nikawashauri matangazo wayatoe kwanza mpaka zitakapokuwepo,wakaniambia watalifanyia kazi kwa ujumla hawa Airtel wezi wakubwa.

ungechukua jina la huyo aliekuhudumia hamna kitu kama hicho, Modem zimeshushwa bei alitaka kupiga changa la machotu
 
Uliyesema speed ya HSPDA ni kubwa kuliko EDGE umekosea,katafiti vzr khc GPRS,HSDPA,edge,EDGE,3G. Ila wengn nawasapot kwl Airtel wanaongoza kwa kusema "tutalifanyia kazi" af ubabaishaji m2pu!
 
kuna member fulani alikuwa na id ya Customer care huyu ndio alikuwa anajibu maswala ya airtel jamvini sijui yu wapi aiseee....
 
Heshima mbele wakuu,,mie sio mzoefu sana wa hizo Bundle lakini nilishawishika kununua modem ya Airtel kutokana na matangazo yao,,wakaniambaia niweke ela kwa ajiri ya kuactivate hivyo nikanunua vocha ya 500 nikaweka,,iyo laini sikuitukia kabisa kwa sababu kesho yake nilikuwa nasafiri kwenda Mbeya,nilivyofika mbeya nikanunu sh6000 nikaweka ili ninunue 250mb, cha ajabu ile nataka kununua nikaambiwa salio halitoshi yani nina sh5890(nikashtuka),,ikabidi ninunue ya siku moja sh500,,Hadithi hii inatufundisha kuwa hakuna offer ya siku wala mwezi wote ni wezi watupu...
 
Back
Top Bottom