Msaada: Window 7

ARV

JF-Expert Member
Sep 6, 2011
4,966
6,960
Wataalamu naomba mnisaidie hili, hapa ofisini mi natumia computer HP with window 7,shida yangu ni kupata recent documents za WORD ambazo nimezifanyia kazi karibuni, labda jana tu jioni. Sasa nikienda hapa kwenye start then Microsoft Excel kuna ka-arrow kwa mbele nikipeleka hapo cursor naziona recent docs za excel, Shida yangu nikienda kwenye Microsoft word napo kuna ka-arrow kwa mbele lakini nikipeleka hapo cursor haileti hizo recent docs, ndivyo ilivyo hii window 7 au ni computer yangu ina shida?
Wakati natumia XP niliuwa naziona zote(za excel na word). nisaidieni mi sio mtaalam sana msinicheke, yaani sitegemei majibu mabaya.
 
Wataalamu naomba mnisaidie hili, hapa ofisini mi natumia computer HP with window 7,shida yangu ni kupata recent documents za WORD ambazo nimezifanyia kazi karibuni, labda jana tu jioni. Sasa nikienda hapa kwenye start then Microsoft Excel kuna ka-arrow kwa mbele nikipeleka hapo cursor naziona recent docs za excel, Shida yangu nikienda kwenye Microsoft word napo kuna ka-arrow kwa mbele lakini nikipeleka hapo cursor haileti hizo recent docs, ndivyo ilivyo hii window 7 au ni computer yangu ina shida?
Wakati natumia XP niliuwa naziona zote(za excel na word). nisaidieni mi sio mtaalam sana msinicheke, yaani sitegemei majibu mabaya.

Usihofu kuuliza sio ujinga,labda tu nikuulize swali je kazi zako unazi save?kama unasave una save wapi,lakini unapobonyeza tu save as document yako inakwenda direct kwenye My Document,isipokuwa wewe mwenyewe unaweza kubadilisha ni wapi u save kazi zako
 
Huwa nazisave zote ziko kwenye computer, mi nilichokuwa nataka ni kuzipata kwa haraka bila kwenda kuzitafuta sana ndani. kwa mfano nikifika asubuhi ofisini kazi ya WORD niliyokuwa naifanya jana jioni, niende tu kwenye recent document niipate. za EXCEL hazina shida maana nikienda tu hapo zinakuja zote.

Usihofu kuuliza sio ujinga,labda tu nikuulize swali je kazi zako unazi save?kama unasave una save wapi,lakini unapobonyeza tu save as document yako inakwenda direct kwenye My Document,isipokuwa wewe mwenyewe unaweza kubadilisha ni wapi u save kazi zako
 
Back
Top Bottom