ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 4,966
- 6,960
Wataalamu naomba mnisaidie hili, hapa ofisini mi natumia computer HP with window 7,shida yangu ni kupata recent documents za WORD ambazo nimezifanyia kazi karibuni, labda jana tu jioni. Sasa nikienda hapa kwenye start then Microsoft Excel kuna ka-arrow kwa mbele nikipeleka hapo cursor naziona recent docs za excel, Shida yangu nikienda kwenye Microsoft word napo kuna ka-arrow kwa mbele lakini nikipeleka hapo cursor haileti hizo recent docs, ndivyo ilivyo hii window 7 au ni computer yangu ina shida?
Wakati natumia XP niliuwa naziona zote(za excel na word). nisaidieni mi sio mtaalam sana msinicheke, yaani sitegemei majibu mabaya.
Wakati natumia XP niliuwa naziona zote(za excel na word). nisaidieni mi sio mtaalam sana msinicheke, yaani sitegemei majibu mabaya.