gollocko
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 2,945
- 2,275
Acha ife wala hakuna wa kulaumiwa maana kifo chake ndo ukombozi wa taifa hili, kwani nani aweza kuomboleza kifo cha mkoloni?1.wanategemea kuiba kura na kutoa rushwa
2. Hawahofu maisha ya vizazi vijavyo wanajali matumbo yao, hi ni dalili ya kukata tamaa ya maisha.
3. Hawamwamini mtu asiye mtoto wa aliyewahi kuwa kiongoz, hi inadhihirisha dhana ya "like father like son". Lengo ni kuchungana.