Recent content by mkokoriko

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kwani pesa zako
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    U
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kumbe wewe jamaa ni mjinga kiasi hiki. Mpende binadamu mwenzako utakavyo lakini huwezi kujuwa matendo yake anayofanya kwa siri. Inawezekana kweli mema yake ni 100,000 na mabaya yake ni kumi lakini kila jema lina mizani yake na mabaya ni hivyo hivyo. Inawezekana hayo mabaya ingawa kidogo lakini...
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kumbe unapenda ushindani tu hiyo ya juu na ya chini ina tofauti gani. Tizama garden na hizo arch za milango na madirisha utaoa kuwa ni nyumba hiyo hiyo. Ikulu Zanzibar ilifanyiwa matengenezo na kubadilishwa hayo madirisha na kuyaweka ya mbao bila ya rangi. Hizi Ikulu za Dar na Zanzibar...
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hhii Ikulu ya Zanzibar ya Dar na Dodoma ni hii
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Huyo Mzanzibari mama yake mswahili baba yake ndio mchina kazaliwa Kikwajuni Zanzibar huyo.
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Na wewe imeingia katika Kundi la choyo. Tizama watu wa miaka yake Zanzibar wanavaa nguo gani? na wanazungumza vipi ati anajiona muarabu.
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Endelea kuota
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    ni dhahiri kuwa fedha hazijatolewa kwani hiyo ngonjera ya ujenzi wa hiyo miradi ni zaidi ya miaka 3 sasa. Kwa kuwa mna hasira naye huyo Rais mnatafuta kila upenyo kumkandia. Endeleeni tu. Hata angekuwepo Magu hiyo miradi isinge anza mpaka leo.
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kinachotakiwa kufanyika kwa mujibu wa Sheria ni kuwasimamisha kazi waliotuhumiwa na kupisha uchunguzi na hatimae kuwapeleka mahakamani. Unawafukuza watu halafu wanashinda kesi Serikali italazimika kulipa fidia kubwa zaidi.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Unafahamu lolote kuhusu mchezo wa kukimbizwa na Ng'ombe? Je, Kwa Tanzania huu mchezo upo??

    Sifikiri kama unachezwa. Zanzibar ni Pemba pekee ndipo kunakochezwa.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Unafahamu lolote kuhusu mchezo wa kukimbizwa na Ng'ombe? Je, Kwa Tanzania huu mchezo upo??

    Huu mchezo umenikumbusha Pemba tulikwenda kwenye sherehe kukawa na mchezo huo. Wanatengeneza majukwaa ya kiasili na watazamaji wanakaa juu na kutizama. Ng'ombe wanakuwa watatu. Wa kwanza anakuwa wa geresha hasa wanaocheza wanakuwa wa pili na watatu. Wenyewe wanasema ngombe hao huambatanishwa...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Rais Mwinyi ameongeza mshahara kwa Watumishi kwa 15%

    Shilingi elfu 45,000/- kwa kima cha chini. Kweli anawajali wananchi. Tumpongezeni.
Back
Top Bottom