Asante kwel muoshwa uoshwaaa. Hahhhhaaa, jama alijua yy ndio upo poa kwa lugha kumbe nae bila bila. Kwel tusikosoe wakt sie hatujui.
Komaa mkuu kila jambo lawezekana kwenye nia
unajua sio kwamba baba kafanya iki au baba akuwepo..wanasema ivi UPENDO.USITIRI WINGI WA DHAMBI AU UOVU...SASA TUSITIRI UOVU WA BABA KWA UPENDO....UPENDO NDIO UTAFANYA MAMBO YARUDI NA.YAWE SAFI...KATK MAISHA YAKO YA FAMILIA YAKO KWA UJUMLA
Unaitaji kuingia mbingun???basi samehe kama unavyosamehewa na MOLA....shukuru uemda.baba amgefanya yote hata iyo.post usingeipataa....panguzaa vumbi tazama mbele...icho ni kipimo.cha wokovu wako...iyo ndio dini saf ya kwend pepo..samehee daima na kusahau..Dear mama by tupac inakufaa...ila samehe
leo nimeamin viwango vya uchiz vinatofautiana harafu binadamu sie wajinga ona jamaa anaeleza upuiz anaofanya akiwa kazin ss sijui ni stationar au kazin ninapoelewa mm.kama msomi bas ulotoka na gentle na kama kazi basi uliwekwa ujui kwanza nini maana ya kaz..pil.ujuo ethic.za kaz zako.ni.zipo na...
dada umbwa anaruma ana unajua anaruma we wataka weka kidole ili..useme liumbwa linu.lalumaa ss...akili kumkichwaa usije ukajuta ukalia kwa ujinga wako..six pat izo akitoka nje anaonwa na wangapi......tafakat chukus atua yaan kwanza uyo hana ata feels kwako mpk anakuambia leo.amina..kesho jane ww...
jaman tutambue neno la MUNGU ni taaa.na biblia aijipingi ila ww ndio unayejipinga kutoka na kutaka mavumbuz mengi....ila uliumbwa mkamilifu Mwanadamu aliumbwa mkamilifu..soma mhbr 7:29.achen kuhalalisha dhambi kuwa haki...tutahukumiwa kwa kupotosha neno la MUNGU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.