Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,764
sa hapa unataka tukushauri nini hasa!!!!!
Kama mume wake ni mchaga andaa urithi kabisa.
Jamaa yangu ACHANA NAYE KABISA iko siku utamsahau kabisa kwani hana tofauti na MkeoNi kweli Jawilat! Lkini huyo mwanamke ndio amekuwa akinitafuta na si mimi.
Hapana unabadili no kwa ajili ya mpuuzi mmoja? Ampe black n white tu..tena amwambie mumewe ukweli wote!!! He has nothing to loose,rather He will gain a lot, trust to his wife and truth to the other guy
mshafunga shule????
Me tayari nina mke wangu na nampenda kweli!
Hbr za leo ndg zangu wana JF!
Nilikuwa na mpenzi ambaye tulikuwa ktk uhusiano kwa takribani miaka 5 hivi. Nilkuwa tayari nshakuwa na maamuzi ya kumfanya kuwa mke wangu kwa kufuata taratibu zote mara tu baada ya kumaliza masomo yangu 2009.Mwaka huo ho(2009) niligundua alikuwa kwenye mahusiano na mtu mwingine.Nikashindwa kustahimili na kusitisha mahusiano naye! Mara baada ya hapo, aligeuka kuwa kama adui mkubwa kwangu kwa kunitukana matusi mengi ambayo kimsingi sipaswi kuyaweka wazi kwa ajili ya kutunza maadili, yalikuwa ni mazito sana.
Ndani ya mwaka huo huo, mwanamke huyo alienda kuungana na huyo mwanamme wake mpya na kuanza maisha kama mume na mke. Cha ajabu ndudu zanguni ni kwamba, mimi nilifuta namba zake zote na sikutaka kuwasiliana naye tena. Lakini alianza kunitumia msg za nakumic,am sorry swt, ntakupenda daima, najutia maamuzi yangu nk.Baadaye alianza kunipigia cm akitaka turudiane.
HIVI KARIBUNI ALINIPIGIA CM KUNISALIMIA, SIKU 2 BAADAYE NIKAPOKEA SMS KUPITIA CM YAKE IKISEMA: "sitaki uwe unaongea na mke wangu".
Mnanishaurije juu ya mwanamke huyo? Me tayari nina mke wangu na nampenda kweli!